Asema yeye hakumtuma mtu kufanya hivyo
Sawa, ila je, yeye aliwatuma kufanyaje?
Asema yeye hakumtuma mtu kufanya hivyo
Siyo kuumiza kichwa. Nafahamu agencies wanalipwa tofauti. Ila it does not make sense kufanya comparison. Waachiwe ma Dr wao na serikali, sisi wananchi tuwaombe Dr warudi kazini na si kuwatukana kwa kuwadharau, tunawavunja moyo!Umeajiriwa serikalini na serikali kuu au umeajiriwa na Taasisi ya serikali?Kaulize daktari aliyekatika Govt agencies kama NIMR analipwa shilingi ngapi.Hebu muwe mnaumiza kichwa kabla hamjapost comments zenu humu.
Na kazini nina nyumba, usafiri, maji, umeme. Na bado ninamuda mwingi tu wa kuwa iddle (si kama Dr akianza kazi hatoki mpaka usiku). Wakati mwingine Dr anafanya kazi hata weekend, mimi sifanyi.
Ngazi ya mshahara | Kianzio kwenye ngazi | Nyongeza ya kila mwaka | Kima cha juu kwenye ngazi |
PUTS 12 | 1,080,100 | 55,990 | 1,248,070 |
PUTS 13 | 1,348,070 | 60,980 | 1,531,010 |
PUTS 14 | 1,701,010 | 63,000 | 1,890,010 |
PUTS 15 | 2,060,010 | 69,960 | 2,269,890 |
PUTS 16 | 2,439,890 | 76,950 | 2,670,740 |
PUTS 17 | 2,840,740 | 77,720 | 3,073,900 |
PUTS 18 | 3,243,900 | 79,110 | 3,481,230 |
PUTS 19 | Fixed | 3,651,230 | |
PUTS 20 | Fixed | 3,821,230 | |
PUTS 21 | Fixed | 3,991,230 |
Ni kichekesho kwamba mganga wa kienyeji na wenzake wa darasa la saba pale bungeni anakula milioni 7, professionals wanadhihakiwa. What are our priorities?
Nimenukuu baadhi ya maneno ya JK kwenye hotuba yake.
Yani anaposema kuwa Muajiri hana uwezo wa kukulipa so yanini Dr Kugoma.
Hii kauli inamaaana kuwa hata yale madai ya serikali kuwa wanayafanyia kazi madai yote ya Ma daktari ni Ulaghai na Usanii Mtupu, Hii inamaana kuwa Seikali ilikuwa inainawazuga tu Ma Dr ilhali haikuwa na nia ya dhat ya kutekeleza Baadhi ya Madai ya Ma Dr.
My Take
Drs Msirudi Nyuma, JK huyu huyu atakuja kuwapigia Magoti
Ovyo kabisa wewe, labda kama ni mwalimu wa kufundisha mbumbumbu wenzio, kama ungekuwa professional hakika usingeandika huo upumbavu wa ku-criticize taaluma zingine. Umenitia kichefuchefu sana. Huu mgomo unahusika vipi na taaluma zingine, unaona wengine wote waliosoma taaluma zingine ni mavi siyo!Jamani mimi ni mwalimu nafundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama Assistant Lecturer.
Kusema kweli hii nchi haijui dhamani ya madaktari na maprofeno wengine kwa ujumla. Hivi kweli unaweza kulinganisha miaka mitano ya kusomea udaktari na miaka mitatu ya digrii nyingine hizi! Nimeshangaa eti daktari anayeanza kazi analipwa laki 9. Huu ni mshahara mdogo kuliko wa tutorial assistant aliyesomea digrii yake kwa miaka mitatu tu tena digirii laini ( nimesoma mimi arts) usinitolee mimacho! ni laini tu huwezi kulinganisha na nondo za udaktari! Kusema ukweli interns wanapaswa kulipwa minimum 2m. Yaani daktari alipwe sawa na kada nyingine? You are kidding! Kazi ya udaktari ni habari nyingine jamani tusidanganyane. Kikwete anachofanya ni kujaribu kugombanisha madaktari na wananchi! Unajua watu wa kawaida hawajui nondo za udaktari zilivyo ngumu na ilivyo ngumu kufaulu! Watu mliokimbia chemistry, physics, biology mnajua habari yake, sio mchezo!
Siyo kuumiza kichwa. Nafahamu agencies wanalipwa tofauti. Ila it does not make sense kufanya comparison. Waachiwe ma Dr wao na serikali, sisi wananchi tuwaombe Dr warudi kazini na si kuwatukana kwa kuwadharau, tunawavunja moyo!
nimechoshwa na kauli eti daktari anapendelewa kwa kulipwa sana
........hebu nisaidieni mishahara ya hawa watu kwa level ya degree wanalipwa ngapi
........tanapa
.........tra
..........bot
........bandari
.......hazina
..........msd
..........nhif
..........kilimo
..........mahakama
.........ubalozini/mambo ya nje
..........etc....etc...
Vipi telo mbona unatokwa povu sana. Au mwajiriwa wa nape nini. Si bure!