Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
mkuu umeprove ujinga wako anatomy ya mzungu na mwafrika au mtanzania ni tofauti au medicine ya ulaya na Tanzania ni tofauti ficha ujinga wako onyesha welevu wako.Bada ya wiki mbili utanipa jibu mzee! Wewe kwa nini unang'ang'ania kufanya kazi serikalini kwwnye maslahi kidogo? Si uended unakokutaka. Kama hauna kioski uataishia kuwa na njaa tu! Manake hata huko Botswana mnakokusema kumeishaanza kujaa. Hayo yalikuwa mambo ya kizamani? Ulaya na Marekani sahau kabia, manake huna hadhi ya kumtibu Mzungu wewe!