Nimenukuu baadhi ya maneno ya JK kwenye hotuba yake.
Yani anaposema kuwa Muajiri hana uwezo wa kukulipa so yanini Dr Kugoma.
Hii kauli inamaaana kuwa hata yale madai ya serikali kuwa wanayafanyia kazi madai yote ya Ma daktari ni Ulaghai na Usanii Mtupu, Hii inamaana kuwa Seikali ilikuwa inainawazuga tu Ma Dr ilhali haikuwa na nia ya dhat ya kutekeleza Baadhi ya Madai ya Ma Dr.
My Take
Drs Msirudi Nyuma, JK huyu huyu atakuja kuwapigia Magoti
Sasa naanza kuelewa kuwa macho ya binadamu si kama nilivyokuwa nayajua mengine yanaona DUNIA iliyojaa MADAKTARI tuu na hakuna kitu kingine!!, Na watanzania tunawategemea wasomi wetu wenye mtazamo wa aina hiyo watoe ushauri kutuongoza watanzania!!!