Ndugu zangu habari za Leo!Ningependa kuwaauliza kuhusu biashara ta RED MERCURY(ZEBAKI NYEKUNDU).
Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii ipooooo?
Na nimeambiwa kuwa ukifanikiwa kuipata bei yake huwa ni kubwa je kuna ukweli?Naomba kuwasilisha
Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii ipooooo?
Na nimeambiwa kuwa ukifanikiwa kuipata bei yake huwa ni kubwa je kuna ukweli?Naomba kuwasilisha