kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata
kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI
kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE
Top ten ya vyuo vinavyozalisha wataalamu vilaza na mafisadi. Muadilifu hawezi kujinasibisha hadharani na UDSM, hiki chuo ndicho kimazalisha wataalamu wanaoangamiza nchi. Mungu niepushe na janga la UDSM