Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

Top ten ya vyuo vinavyozalisha wataalamu vilaza na mafisadi. Muadilifu hawezi kujinasibisha hadharani na UDSM, hiki chuo ndicho kimazalisha wataalamu wanaoangamiza nchi. Mungu niepushe na janga la UDSM
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

mkuu umechemka sana,najua utaaanza kusema unasoma kati ya izo tatu za juu na bado utakua unazidi kuthibitisha kua umechemka zaidi
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE
................Yaani w2 wana2mia makalio kukalia lakini ww una2mia kufikiri,.....,yaani we hujui ukisemacho halafu kwa bahati mbaya hujui kama hujui,,,,,,,THINK BIG
 
We una2mia makalio katika kufikiri na wakati wa2 wana2mia kukalia,kwa bahati mbaya hujui unachokisema,halafu hujui ya kwamba hujui,THINK BIG,kILAzA WEWE,MBULULA LA KU2PWA
 
Sijaona kilaza kama huyu. Your best friend is your head.Hata usome chuo gani kama kichwani hamna kitu uta fail maisha pia,hata uwe na gunia la vyeti
 
Naona ww unaongea bila kuwa na data sahihi nenda kwenye rank ya vyuo bora Africa harafu uangalie rank yako kama hiko sahihi.Acha ujinga bwana.
Yeye ameongelea kwa Tanzania,wewe untaka Africa,simama kwenye mada
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

Mapunga kumbe bado tunao wengi TZ
 
ubora wako unaupima kwa kitu gani? je unawajua vyema graduates wa IFM?
wewe najua bado boom liko sasa jishaue kununua hutu tu vocha twa MB uishiwe mapema uone kama hukula nyasi

Mwl hii lugha ya hutu tu vocha twa... Mbona mi napata wasiwasi ni lugha gani hii icje kua umeongea kimakonde. Hahaha
 
Mtoa mada amerusha jiwe gizani na ukisikia yalaaa hujue mtu limempata na limetupata wengi so lazima tumshambulie aliyerusha jiwe..

Enz za mzumbe tunasema pumbavu sana form one...( Elimu ni uwezo sio cheti)
 
una reference ndugu mtoa mada?haya na mimi ntakuja na vyuo bora sasa c ndo watanzania mmejizoesha huo ujinga?tmia akili itakuzoea
 
mada yako ni nzuri sana lakini imekosa maana baada ya kuonekana hujafanya utafiti wa kutosha ni kweli kuna ubora wa kila chuo lakini ulitakiwa uonyeshe ni tools zipi umetumia ktk uchunguzi wako na lazima uonyeshe vyuo vyote jinsi ulivyopima then ndiyo ulete kwa jammii forum so wacha kutoka na mada bila kuwa na utafiti kwanza maana siku hizi hata vyuo vya ufundi wanatoa degree sasa ww unasema ubora wa hizo chache?
Tafuta kigezo kimoja ukifanyie kazi mfano ubora wa wahitimu wake,ubora wa majengo,ubora wa walimu/wahadhiri nk





inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE
 
Back
Top Bottom