Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

Huwezi kufananisha Kondoo na Mbuzi hata kama wote ni wanyama wanaocheua; Umejiuliza maswali ya msingi kwamba vyuo hutofautiana kwa courses. Kwa mfano SUA ni cha kilimo utalinganishaje na UDSM, MUHAS ni cha afya unalinganishaje na IFM? Acha kulinganisha aliyevaa kaputura na mwingine suti yupi amependeza bila kuangalia mazingira gani? Hujui ukivaa suti shambani kila mtu atakushangaa hata kama utakuwa mahili kwa kulima.

aaaaah hapo mzee amechemka. i dont think kama amefanya research ya kutosha. angetuambia ametumia vigezo gani. no right to speek if you have not made a research
 
Kweli kachemka ardhi kwa st augustine bado sana angalia hta kwny rank ya vyuo bora tz st augustne iko juu ya ardhi xo i think ukilaza unamsumbua
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE
Kwa msaada, this is the list
Ads by Google

Postgraduate Study All about studying at University of Westminster, taught and research Prospects.ac.uk


Universities
Locations
1 University of Dar es Salaam[h=6]Dar es Salaam ...[/h]
2 The Hubert Kairuki Memorial University[h=6]Dar es Salaam[/h]
3 Sokoine University of Agriculture[h=6]Morogoro ...[/h]
4 Muhimbili University of Health and Allied Sciences[h=6]Dar es salaam[/h]
5 Mount Meru University[h=6]Arusha[/h]
6 St. Augustine University of Tanzania[h=6]Mwanza ...[/h]
7 Mzumbe University[h=6]Morogoro[/h]
8 The University of Dodoma[h=6]Dodoma[/h]
9 International Medical and Technological University[h=6]Dar es Salaam[/h]
10 St. John's University of Tanzania[h=6]Dodoma[/h]
11 The University of Arusha[h=6]Arusha[/h]
12 Ardhi University[h=6]Dar es Salaam[/h]
13 The State University of Zanzibar[h=6]Zanzibar City ...[/h]
14 Tumaini University[h=6]Dar es Salaam[/h]
15 Teofilo Kisanji University[h=6]Mbeya[/h]
16 Zanzibar University[h=6]Zanzibar City[/h]
17 Muslim University of Morogoro[h=6]Morogoro[/h]

Ila kwa taarifa yako, kama unaenda chuo kuona majengo na kusikia na kulewa sifa za majina UMEFULIA mbaya! Hata ukisoma Harvard or Aberdeen kama wewe ni kilaza, na ndio ukweli kuwa wewe ni kilaza, utatoka huna hata chembe ya elimu. Wewe ni Mulugo type bila shaka... Kama uko chuo, maliza uje Kitaa, hapo ulipo uko University, ila huku tuliokwisha pita huko tuko CHUO KIKUU... Njoo sasa na mambo yako ya sijui vyuo vya kata, mara chuo nini... maisha yatakupakata... Blinded mind...nenda ukasome acha huu ujinga.
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

wewe ni mjinga kuita IFM NI CHUO CHA KATA, WATAALAMU WOTE WA KI BANK MUUNDO WA BOT CHANZO IFM! Hakil huna
 
Tumaini university ni mbofuuu, ila ST Augustini ni CHuo boraaa.

Mie nimesoma SUA - ile ni chuo bora Africa
 
Kakudanganya nan IFM ni chuo cha kata?

Hivi nyie ni vigezo vipi mnavyotumia kugrade vyuo? Bora mngegrade hata course mfano BBA na mtoe vigezo beyond reasonable doubt bearing in mind that university education is a sort of autocratic chuo kinavyotaka wahitimu wake wawe ndivyo kinavyowapika
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

Sorry, mkuu hii tathmini ya mwaka gani, nani na ilifanywaje?
 
sasa MUHAS nacho chuo,,,wa................... tu wale wanaimua vijana wao watu wamekaa skull 5 yrs hafu unawatimua, hafu wengine walivo wa....squre yaani wanafunzi wa pale magoigoi tu ningekua na uwezo mie ningeshusha moto wa toharani uwaunguze woote pale
 
Acha ushamba bwana,baadhi ya vyuo ulivotaja hapo ni chips mayai na sambusa,unadiriki kuacha vyuo vya majembe na madude kama DIT vilaza kama wewe hugusi pale!

kuna wanafunzi wasiopungua kumi na tano kutoka DIT walienda kusoma degree udsm mwaka 2010 lakin mpk leo ni mmoja tu amingia mwaka wa tatu, na bado ana mwaka mmoja ili amalize chuo manake course yake ni ya miaka mi4. Hahahahaa.! Siend udsm ntabak hapahapa DIT
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

tunaomba vigezo vilivyotumika kafanya hizi rankings
 
Back
Top Bottom