Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

Yaani wewe hata ku comment thread yako hatukutakiwa ila ni uungwana tu wa kukushauri, ebu jifunze kufikiria, huna sourses wala surpoting material ya kukomaza point yako ya kijinga na uchunguzi hujafanya na hata ungefanya uchunguzi hii sio title ya project au research yako ikiwa ungekuwa msomi, kwanza huwezi ukawa ni mtu uliyesoma au unayetegemea kusoma umekurupuka tu baada ya kuona walevi wanaropoka na wewe ukaanza, rudi darasani nakushauri uanze form 2. nilidhani labda pamoja na umepost upuuzi ungekuwa na some fact za uongo ili tuone kama unaweza hata danganya mtoto kumbe ndo huu ujinga??
 
Na katika hii list ya current ya vyuo 1000 duniani kimo? teh...teh....teh...yani kwenye list kuna vyuo toka nchi mbili tu Africa, South Africa na Egypt na wenyewe hata kwenye 100 bora hawamo...tusijisifu kuzidiana kunuka...Badala yake as a nation tuangalie wapi tulipojikwaa...hizi ranking zinabebwa sana na research; je kuna budget kiasi gani kwa ma professor wetu kufanya research na kuacha kufuga kuku? Huko dunia ya kwanza ukisikia budget ya Elimu jua kuna ela kibao kwa ajili ya research projects...professor ashindwe mwenyewe. Kuna chuo nakijua Europe kila mwanafunzi wa PhD akigraduate supervisor wake anapewa like euro 90,000 atumie kwenye area ya interest yake...huku kwetu hata kulipwa ela ya supervision watu waandamane...
Kiukweli udsm hata kimataifa kipo juu, afrika ktk vyuo 100 bora cha 4, tuache unafiki,
 
Kuna tabia ya watu kupenda ku generalize kwa sababu ya personal interests...mimi niliaminishwa kuwa wanafunzi wa vyuo Fulani hawako competent....lakini nilibahatika kuwafanyia interviews graduates zaidi ya 300 toka vyuo mbali mbali Tz na walitakiwa kama robo yao (ilikuwa consultancy) nilishangaa kuwa the most competent candidate ambao panel members wenzangu nao walimpa highest marks alitoka UDOM...Naongea bila interest yeyote kwa kuwa sijawahi kusoma wala kufanya kazi UDOM...kwa hiyo hacha labour market ichague...hata kama umesoma wapi uwezo wa kutranslate ulichojifunza ndio kitakachokufanya uwe employable, huwezi kuwa employed kwa jina la chuo chako. Katika kila chuo kuna wanafunzi competent na wasio competent...ila kumbukeni employability si kigezo kikubwa kwenye ranking ya vyuo
 
Kuna tabia ya watu kupenda ku generalize kwa sababu ya personal interests...mimi niliaminishwa kuwa wanafunzi wa vyuo Fulani hawako competent....lakini nilibahatika kuwafanyia interviews graduates zaidi ya 300 toka vyuo mbali mbali Tz na walitakiwa kama robo yao (ilikuwa consultancy) nilishangaa kuwa the most competent candidate ambao panel members wenzangu nao walimpa highest marks alitoka UDOM...Naongea bila interest yeyote kwa kuwa sijawahi kusoma wala kufanya kazi UDOM...kwa hiyo hacha labour market ichague...hata kama umesoma wapi uwezo wa kutranslate ulichojifunza ndio kitakachokufanya uwe employable, huwezi kuwa employed kwa jina la chuo chako. Katika kila chuo kuna wanafunzi competent na wasio competent...ila kumbukeni employability si kigezo kikubwa kwenye ranking ya vyuo

bhaaassssssss....ujumbe umefika.
 
maliza kusoma kwanza afu uone chuo ulichosoma kitakusaidia nini katika kupata kazi...
 
Ukihitimu chuo unachosoma, maisha yakakupiga mtaani na cheti chako kwenye bahasha ya kaki ndo uajua ulikuwa unasoma chuo bora au bora chuo.
Hawa watoto wa mwaka huu wanaharibu sana JF.
Hivi kweli na wewe ni GT kweli! lol!
 
inapopaswa kuongea ukweli ni vizuri ingawa sio kila mtu anaweza kukubaliana nao kutokana na sababu zake binafsi
najua hii post itapata diss nyingi KUTOKANA NA UKWELI WAKE,What i need is ujumbe uwafikie wahusika wajue position ya vyuo vyao katika ranking ya vyuo bora bongo,OK ngoja nianze na vyuo bora bongo then ni malizie na vyuo vya kata


kwa upande wa vyuo bora
1.UDSM
2.SUA
3.MUHAS
4.HUBERT KIARUKI
5.ARDHI

kwa upande wa vyuo vya kata
1.UDOM
2.ST AGUSTIN
3.IFM
4.EKENRORD TAN5
5.CBE

Ukihitimu chuo unachosoma, maisha yakakupiga mtaani na cheti chako kwenye bahasha ya kaki ndo uajua ulikuwa unasoma chuo bora au bora chuo.

Hawa watoto wa mwaka huu wanaharibu sana JF.

Hivi kweli na wewe ni GT kweli! lol!
 
Hyo list hujakoxea chochote...xema tu we n mkund* ndo maana akil yako ilkutuma uandke
 
Back
Top Bottom