Tanzania kila kitu tuko chini na tunapitwa na hata nchi zilizokuwa vitani kwa muda mrefu. Unaambiwa bajeti za Burundi, rwanda, DRC ni kubwa kuliko ya Tanzania!
Unaweza pia kushangaa kuwa bajeti ya Tanzania ya wizara ya ulinzi ni kubwa kuliko nchi zinazopigana!!
Mwaka jana nilimskia Mkapa akiongelea kuuza umeme Kenya mara tu tutakapounganisha na Grid ya ZAmbia!!
Nikajiuliza utaanzaje kufikiria kuuza umeme nje ya nchi wakati kuna baadhi ya wilaya na siyo vijiji hazina umeme!!
Biashara hadi ikulu! Ninakubaliana na nanyi kuwa wakati umefika wa kuweka mbele interest za wananchi kwanza.
Ukiamua kulinganisha bajeti ya elimu ya Tanzania na nchi tuzosema ziko vitani utaishia kuugua pressure. Kwanza miaka 50 anayosema ES inaweza kufika na kukuta hiyo gas haijatumiaka katika nyumba zote dar!
Unaweza pia kushangaa kuwa bajeti ya Tanzania ya wizara ya ulinzi ni kubwa kuliko nchi zinazopigana!!
Mwaka jana nilimskia Mkapa akiongelea kuuza umeme Kenya mara tu tutakapounganisha na Grid ya ZAmbia!!
Nikajiuliza utaanzaje kufikiria kuuza umeme nje ya nchi wakati kuna baadhi ya wilaya na siyo vijiji hazina umeme!!
Biashara hadi ikulu! Ninakubaliana na nanyi kuwa wakati umefika wa kuweka mbele interest za wananchi kwanza.
Ukiamua kulinganisha bajeti ya elimu ya Tanzania na nchi tuzosema ziko vitani utaishia kuugua pressure. Kwanza miaka 50 anayosema ES inaweza kufika na kukuta hiyo gas haijatumiaka katika nyumba zote dar!