Hii ndio orodha ya watu ambao wapo kwenye hatari kubwa ya kupatwa na malaria

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau!

Amini usiamini lakini huu ndio ukweli waru awa wapo kwenye hatari kubwa ya kupatwa na malaria kuliko watu wowote.
1. Wajawazito
2. Vibonge
3. Wakimbiaji (joggers)
4. Watu wenye bustani za maua nyumbani kwao
5. Walevi
6. Wanaopenda kuvaa night dress nyeusi au nguo nyeusi wakati wa usiku

Malaria inaua chukua tahadhari.
 
Habari wadau!

Amini usiamini lakini huu ndio ukweli waru awa wapo kwenye hatari kubwa ya kupatwa na malaria kuliko watu wowote.
1. Wajawazito
2. Vibonge
3. Wakimbiaji (joggers)
4. Watu wenye bustani za maua nyumbani kwao
5. Walevi
6. Wanaopenda kuvaa night dress nyeusi au nguo nyeusi wakati wa usiku

Malaria inaua chukua tahadhari.

Mh!! Si kweli
Malaria haibagui mtu yoyote
 
Back
Top Bottom