Ally7
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 517
- 768
Mimi napenda sana typing effect yaan bold etc...katika mfumo wangu wote wa simu kama ilivyo katika simu za samsungNimeona..basi ngoja nikuchekie nyingine
Mimi napenda sana typing effect yaan bold etc...katika mfumo wangu wote wa simu kama ilivyo katika simu za samsungNimeona..basi ngoja nikuchekie nyingine
Natumia tecno c5Mimi napenda sana typing effect yaan bold etc...katika mfumo wangu wote wa simu kama ilivyo katika simu za samsung
Hapo mkuu njia rahisi kama utakua umeroot simuMimi napenda sana typing effect yaan bold etc...katika mfumo wangu wote wa simu kama ilivyo katika simu za samsung
Kwangu imegoma ila kuna mdogo angu nimemjaribia imekubaliMm natumia tecno mbona hiyo application ipo
Kwangu ipo automatic hiyo na wala sijui kama kuna sehemu ya kusetiKwangu imegoma ila kuna mdogo angu nimemjaribia imekubali
Mkuu naomba nifafanulie kidogo Ku root ni nini maana sifahamu naona inaongelewaga tuu lakini sijuiHapo mkuu njia rahisi kama utakua umeroot simu
Simply ni kua na acces zaid na simu yako...inakufanya ww kufanya chochote ndan ya simu yako,Mkuu naomba nifafanulie kidogo Ku root ni nini maana sifahamu naona inaongelewaga tuu lakini sijui
Eleza iko wapiMm natumia tecno mbona hiyo application ipo
Hii kitu inaitwa Application notification badge,ni feature inayopatikana kwenye iOS ya Apple hivyo kampuni kubwa kama Google hawaruhusiwi kuitumia hii feature kwenye Android kutokana na patent au copyright issues.Ni moja ya feature ambayo naipendaga sana so nlikuja kugundua kuwa baadhi ya OEM'S wa Android ambao wanayo hii feature ni pamoja na Samsung,LG,HTC,Xiaomi,Le eco na makampuni mengi ya China,sijawataja Huawei maana wao ipo lakin n limited kwa native applications like message,dialer,email.Kwa mfano mimi natumia Xiaomi so ipo bila hata ya kutumia third party launcher au ku root simu(sipendag ku root maana huwa napata updates kupitia OTA)mara kwa mara.Habari ya Jumapili wakubwa hii kitu hapa chini inawezekana kwenye simu za Tecno notification kuonyesha namba kwenye app husika
Sawa mkuu nimeionaHii kitu inaitwa Application notification badge,ni feature inayopatikana kwenye iOS ya Apple hivyo kampuni kubwa kama Google hawaruhusiwi kuitumia hii feature kwenye Android kutokana na patent au copyright issues.Ni moja ya feature ambayo naipendaga sana so nlikuja kugundua kuwa baadhi ya OEM'S wa Android ambao wanayo hii feature ni pamoja na Samsung,LG,HTC,Xiaomi,Le eco na makampuni mengi ya China,sijawataja Huawei maana wao ipo lakin n limited kwa native applications like message,dialer,email.Kwa mfano mimi natumia Xiaomi so ipo bila hata ya kutumia third party launcher au ku root simu(sipendag ku root maana huwa napata updates kupitia OTA)mara kwa mara.