Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Kwani hicho kibao ulikiona wapi mkuu? kwanini usiwaulize watu wa mtaa huo watakuwa wanaijua uzuri.
Sie wa huku kijiji hatuna maSupermarket ya hivyo mkuu!Kwani hicho kibao ulikiona wapi mkuu? kwanini usiwaulize watu wa mtaa huo watakuwa wanaijua uzuri.
Sie wa huku kijiji hatuna maSupermarket ya hivyo mkuu!
Bila shaka hapo ulipo zipo eeh?!
WOTE 2meona mkuu!Aliyeona kibao hicho kati ya mm na ww ni nani?
Mna matatizo aisee
Hivyo ndivyo sura yako inavyoonekana kwa ndani ya ufahamu wako!Mind iko usoni?