Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
wameshaiba sasa wamevimbiwa wanataka kuharibu starehe za wenzao.sheitwan wakubwa.Dah!
Jf inaniondoleaga stress acha tu jamani.
Hao wabunge waosema ifungwe,shenz zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameshaiba sasa wamevimbiwa wanataka kuharibu starehe za wenzao.sheitwan wakubwa.Dah!
Jf inaniondoleaga stress acha tu jamani.
Hao wabunge waosema ifungwe,shenz zao.
Kawaida kila anayekuwepo eneo la jengo hili anatakiwa awe amefunga mkanda; awe amesimama au amekaa; vile jengo lote lina AIRBAGS ikitokea dharula kama hiyo wote mlipo mnafunikwa na airbags!Kwa wale wanaovutia sigara dirishani watakua hatarini, watatupwa nje ya mjengo ghafla
Mwanangu hili linauwezo pia wa kung'oka hapo kutoka chini; hivyo ikija ndege linasogea pembeni!dawa hapo ni kupiga kwenye ghorofa ya chini sasa sijui jengo litajipiga mtama?
Umenikumbusha rafiki yangu mmoja alikuwa akichez karata na rafiki yake na mara kwa mara huyo rafiki yake akawa anakosea. Jamaa akalalamika sana "Kila nikimuomba mavi anatoa kisu", Kwa kweli siku na mbavu