The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Siku za mwanzo wa vita kati ya wateule na wapalestina. Waislamu wote duniani walionywa wasitumiena kususia bidhaa zozote za wateule wayahudi.
Wakasusa kwenda McDonald's na KFC. Pia kunywa Pepsi na Coca-cola. Ila wengi wao walikuwa wanakula na kunywa kwa kujificha. Delivery nyingi za McDonald's walikuwa wanaagiza majumbani mwao. Nakushindilua faraghani.
Sasa hivi uvumilivu umewashinda wamesalimu amri. Kama kawa wanafurika McDonald's, KFC, sturback etc kwa makundi bila uwoga na kubughia baraka za wateule.
Hata yale maandamano ya free Palestine from the river to the yamefifia hayapo tena wakisingizia baridi pupwe linapuliza nakutamani hii vita ingekuwepo wakati wa summer.
Ukimlaani Israel utalaaniwa. Ukimbariki utabarikiwa-
Mungu wa kweli mweyewe.
God bless Israel.
Israel Forever.
Israel the land Jews the People.
adriz Ritz incharge ITR green rajab Malaria 2 Adiosamigo FaizaFoxy
Wakasusa kwenda McDonald's na KFC. Pia kunywa Pepsi na Coca-cola. Ila wengi wao walikuwa wanakula na kunywa kwa kujificha. Delivery nyingi za McDonald's walikuwa wanaagiza majumbani mwao. Nakushindilua faraghani.
Sasa hivi uvumilivu umewashinda wamesalimu amri. Kama kawa wanafurika McDonald's, KFC, sturback etc kwa makundi bila uwoga na kubughia baraka za wateule.
Hata yale maandamano ya free Palestine from the river to the yamefifia hayapo tena wakisingizia baridi pupwe linapuliza nakutamani hii vita ingekuwepo wakati wa summer.
Ukimlaani Israel utalaaniwa. Ukimbariki utabarikiwa-
Mungu wa kweli mweyewe.
God bless Israel.
Israel Forever.
Israel the land Jews the People.
adriz Ritz incharge ITR green rajab Malaria 2 Adiosamigo FaizaFoxy