ngoja nikawaangalie vyema
Ila naona miguu yenyewe ni kama anayookaanga Asprin hapo juu au macho yangu
Last edited by a moderator:
mke mwenza mie napita tu...
Mi nakuangalia tu....!
Blaki Womani umejuaje????wallaih utakua umechungulia kwenye kioo si bure!!! On ma way sweetie shaka ondoa katakunywa hata bakuli mbili ukitaka.kamegoma kunywa uji Mr Rocky mtume Yummy aje kunisaidia maana anauzoefu kwa watoto wabishi kula kama Young Master
kwani ushapona gololi zako ulizokuwa unatibiwa ccbrt??? naona unaona makengeza kabisaaaaa!
Blaki Womani umejuaje????wallaih utakua umechungulia kwenye kioo si bure!!! On ma way sweetie shaka ondoa katakunywa hata bakuli mbili ukitaka.
hahahaaaa mke mwenzangu umenivunja mbavu..... mr rocky tutamvisha ile miwani ya babu asipoangalia.
asante mwaya umechelewa hadi Mr Rocky husband of yours amenisaidia kumnywesha inaonekana watoto wenu wabishi kunywa uji hadi muwabane pua
Tatizo unafanya sharing wakati mie natakhaa mwenyewe...........Mimi na wewe ni kitu kimoja, haina maana..........malizia mwenyewe!!!!
Tatizo unafanya sharing wakati mie natakhaa mwenyewe...........