Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,971
- 22,163
Jamani kuna watu wengine awana hata shbira wala msamaha
waanakuta gari imejaa gafula wanasubiri mlango uemefunga unasikia hewa nzito inapishana kwenye wwatu wengi basi shida tupu hewa hiyo inaposambaa utasema tunapita dampo la tabata enzi hizo...basi jamani
ukijisikia hali ama shida imekuzidi basi jaribu kukibana hata kidogo ama angalie usalama wa watu wa ndani kwanza wengi wana safoketi kama luga yetu inavyosema...wakiwa wachache hata kelele iachie lakini limejaa hapo hapo waliachia best..mmh hapana tupunguze kasi!!!!!!
upande wa MDK MTATUSAIDIAJE HILI SWAALA LA HEWA CHAFU!!!
waanakuta gari imejaa gafula wanasubiri mlango uemefunga unasikia hewa nzito inapishana kwenye wwatu wengi basi shida tupu hewa hiyo inaposambaa utasema tunapita dampo la tabata enzi hizo...basi jamani
ukijisikia hali ama shida imekuzidi basi jaribu kukibana hata kidogo ama angalie usalama wa watu wa ndani kwanza wengi wana safoketi kama luga yetu inavyosema...wakiwa wachache hata kelele iachie lakini limejaa hapo hapo waliachia best..mmh hapana tupunguze kasi!!!!!!
upande wa MDK MTATUSAIDIAJE HILI SWAALA LA HEWA CHAFU!!!