HESLB (BODI) na EQUIVALENT

Hapana, huwa yanarudishwa kwenye address ambayo uliiweka.
Na uhakika maombi yote yaliwafikia kwani mfumo tuliotumia ku-apply wa on-line majina yaliwafikia mapema tu.
Address mbona kazi tena si bora wangetumia E-mail adress zetu.
Hawajamaa sema tu hawako serious!
 
Na uhakika maombi yote yaliwafikia kwani mfumo tuliotumia ku-apply wa on-line majina yaliwafikia mapema tu.<br />
Address mbona kazi tena si bora wangetumia E-mail adress zetu.<br />
Hawajamaa sema tu hawako serious!
<br />
<br />
kinachonishangaza mimi ni kwanini second applicants wote waliochaguliwa issue ya boom haijulikani mpaka sasa?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kinachonishangaza mimi ni kwanini second applicants wote waliochaguliwa issue ya boom haijulikani mpaka sasa?
<br />
<br />
hao bodi ilshasema hawana fungu lao.
 
Na uhakika maombi yote yaliwafikia kwani mfumo tuliotumia ku-apply wa on-line majina yaliwafikia mapema tu.
Address mbona kazi tena si bora wangetumia E-mail adress zetu.
Hawajamaa sema tu hawako serious!

hawa jamaa ndio maana walikuwa hawarudishi majibu kwenye email walizo submit..
 
<br />
<br />
ukiona jina lako halipo sehemu yoyote elewa form yako haikufika.
allmost equivalent hazijafika eh? au ni ujanja wao tu wa kukwepa!!? kulipia mahela yote hayo kwa ems alafu leo waseme hazijafika??
 
mdau ata mimi niliomba udom thru mature mpaka leo cjaona jina langu hata kujua kama nimepata admission au la................udom wametuchunia mpk leo.
 
mdau ata mimi niliomba udom thru mature mpaka leo cjaona jina langu hata kujua kama nimepata admission au la................udom wametuchunia mpk leo.
Mkuu check kwenye website yao wameweka majina,ila nadhani ni yaleyale toka TCU make nacheck majina ya Equivalent na Mature age siyaoni labda la kwako kama limo tujulishe mkuu nas tuwe na matumaini au la.
 
hawa bodi kwanza wametudharau kinoma, kwani hakuna mtu mmoja wa Equivalent ambaye amepata au jina lake limekosewa kwenye orodha na wa waombaji waliopata. sisi hii bodi mpya hatuihitaji kwani imeharibu kabisa mfumo wa elimu hapa Tz, hivi hawa hawakusoma kwa njia hii au wote ambao wapo bodi wamesoma kwa Direct Entrance, hapana tunatakiwa tubadilike sisi sio watoto wa Matajiri tukaweza kujilipia ADA.


TUNAOMBA BODI HII UNALOJIITA MPYA IWAFIKIRIE HAWA WANAOTA EQUIVALENT hali mbaya mno, na wengine Sayansi na Walimu sasa mnataka watu gani wapate hiyo mikopo.
kwa mfano DIT wanafunzi wengi wanatoka pale na Diploma kwa hiyo hawa wasipate taifa hili Linapoteza wana-sayansi bila kujijua pale wapo Engineers wengi sana, huo ni mfano tu wa sehemu ambazo zitaathirika kwa kutopata mkopo.

sasa sijui mnataka tufanyaje mtoe mikopo kwa hawa EQUIVALENT, sisi tunasubiri tufungue tu tufike vyuoni ili tujue hatima ya sisi mnaotuita Equivalent.


wadau nashukuru tupo pamoja lazima kieleweke mwaka huu.


Mr. Iringa
 
Mpaka hv sasa wanafunzi walioomba mkopo kwa kutumia matokeo ya equivalent ktk chuo fulani hawajapata mkopo.<br />
Cjui na ww pia u-mmoja wao/unajua chuo kingine au la!<br />
Je, unafikiri ni nini tatizo au ni kwamba hawo wanafunzi hawaruhusiwi kupata mkopo??????
<br />
<br />
 
usihofu kabisa,mkopo utapatikana tu. na isitoshe bado kuna muda wa ku-appeal kwa bodi ya mikopo. hata hivyo jaribu kufuatilia wafadhili wengine kama vile www.eabl foundation n.k
 
Wizara imesema jibu la mwisho watatoa tar. 27, watakapokaa kikao tena, kwa maana kuna wale waliosoma ufundi NACTE,nao hawajapata mikopo. So wanaangalia jins ya kuwasaidia na hao.Ili mwisho wa siku watoe maamuzi ya mwisho concerning wanafunz wote At da same tym wamesema watawaomba vyuo vyote kusecure nafas za waliokosa mikopo till wizara watakapotoa tamko lao hyo tar. 27. Ni hayo! HAK YA MNYONGE HUWA HAIPOTEI BALI INACHELEWESHA. unapaswa kufika Wizaran tar.27 kuungana kupigania haki yetu. Mpe taarifa na mwenzako.
 
Wizara imesema jibu la mwisho watatoa tar. 27, watakapokaa kikao tena, kwa maana kuna wale waliosoma ufundi NACTE,nao hawajapata mikopo. So wanaangalia jins ya kuwasaidia na hao.Ili mwisho wa siku watoe maamuzi ya mwisho concerning wanafunz wote At da same tym wamesema watawaomba vyuo vyote kusecure nafas za waliokosa mikopo till wizara watakapotoa tamko lao hyo tar. 27. Ni hayo! HAK YA MNYONGE HUWA HAIPOTEI BALI INACHELEWESHA. unapaswa kufika Wizaran tar.27 kuungana kupigania haki yetu. Mpe taarifa na mwenzako.
Hapo penye bold, Naunga mkono Hoja! Lakini tuwe makini na mshikamano wetu tusije tukavurumishwa kwa mabom make nchii hii bwana ukidai haki yako kwa mshikamano huumbalia vipigo!.
Ni vema ungetujuza style itakayotumika katika kupigania haki yetu siku hiyo!
 
Hapo penye bold, Naunga mkono Hoja! Lakini tuwe makini na mshikamano wetu tusije tukavurumishwa kwa mabom make nchii hii bwana ukidai haki yako kwa mshikamano huumbalia vipigo!.
Ni vema ungetujuza style itakayotumika katika kupigania haki yetu siku hiyo!
machafuko hutokea pale ambapo kunapotolewa majibu na maamuz mepes kwa maswal au mahitaj ya msingi. tar. 27 ndo hatima yetu, tukapojitokeza kwa wingi ina waonyesha ni jins gan tatzo letu n kubwa na kwa kias tunamaanisha kwa hil tunalolipigania. mpe taarifa na mwenzako tujumuika kwa wing kutetea mustakabal wetu.Alaf usiamin sana kupata matokeo mabaya, njoo ukiwa na tumaini kwamba tutaondoka tunachekesha na c kulia.
 
machafuko hutokea pale ambapo kunapotolewa majibu na maamuz mepes kwa maswal au mahitaj ya msingi. tar. 27 ndo hatima yetu, tukapojitokeza kwa wingi ina waonyesha ni jins gan tatzo letu n kubwa na kwa kias tunamaanisha kwa hil tunalolipigania. mpe taarifa na mwenzako tujumuika kwa wing kutetea mustakabal wetu.Alaf usiamin sana kupata matokeo mabaya, njoo ukiwa na tumaini kwamba tutaondoka tunachekesha na c kulia.
Aksante mkuu ntajitahidi kuwepo ngoja niwataarifu na wenzangu juu ya swala hili kwani nimhimu sana!
 
hawa bodi kwanza wametudharau kinoma, kwani hakuna mtu mmoja wa Equivalent ambaye amepata au jina lake limekosewa kwenye orodha na wa waombaji waliopata. sisi hii bodi mpya hatuihitaji kwani imeharibu kabisa mfumo wa elimu hapa Tz, hivi hawa hawakusoma kwa njia hii au wote ambao wapo bodi wamesoma kwa Direct Entrance, hapana tunatakiwa tubadilike sisi sio watoto wa Matajiri tukaweza kujilipia ADA.


TUNAOMBA BODI HII UNALOJIITA MPYA IWAFIKIRIE HAWA WANAOTA EQUIVALENT hali mbaya mno, na wengine Sayansi na Walimu sasa mnataka watu gani wapate hiyo mikopo.
kwa mfano DIT wanafunzi wengi wanatoka pale na Diploma kwa hiyo hawa wasipate taifa hili Linapoteza wana-sayansi bila kujijua pale wapo Engineers wengi sana, huo ni mfano tu wa sehemu ambazo zitaathirika kwa kutopata mkopo.

sasa sijui mnataka tufanyaje mtoe mikopo kwa hawa EQUIVALENT, sisi tunasubiri tufungue tu tufike vyuoni ili tujue hatima ya sisi mnaotuita Equivalent.


wadau nashukuru tupo pamoja lazima kieleweke mwaka huu.


Mr. Iringa






Je mkienda chuo then mkaambiwa kuwa hamna hela kwa ajili yenu Je? mtafanya nini?
 
mdau ata mimi niliomba udom thru mature mpaka leo cjaona jina langu hata kujua kama nimepata admission au la................udom wametuchunia mpk leo.
.
UDOM mwaka huu nahisi hawachukui kabisa Equivalent wala Mature age make ukicheck majina yale waliyotoa 99.99% ni wale waliomaliza kidato cha sita.
Lakini kuna tetesi kuwa na Walioomba pale bila kupitia TCU na wakachaghuliwa ni takribani watu 400 japo majina yao bado hawajayaweka waz.
Kinachonishangaza ni kwa nini hawataki kuyaweka waz?.Je,ni kweli UDOM inaweza kuchukua form six tu?.
Labda mkuu tuwe na imani ipo siku wataweka wanasababu zao
 
Back
Top Bottom