"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

Hey guyz! I've got A boyfriend who really cares for me monetary wise!! The opposite side of the coin is that we have no marriage plans!. The way I look at him I dont see my future with him. Nataka kumuacha lakini nashindwa jamani. Alishawahi kunitamkia wazi, Babu yao aliacha laana kwao mtu yeyote aioe mchagga and he wont go against that! At the age of 24 I really need a serious relationship!! am sorry my Pal if you are reading this! Am not growing any younger!!!
Please members just advise on how am I going to tell him to go on his own!! This guy has been paying my rent, DSTV bills, Fueling my Car frequently, Lots me kwakweli. But I just need to say enough now.
Jamani nashindwa nimuanzeje?
wewe na huyu bwana wako mnaonekana kuongeza idadi ya wazembe duniani. ningewashauri mkaonane na mganga wa kienyeji awazingue. fo moo infomesheni na maelezo du noti heziteti to bipu mii
 
Dear vivilian,am in a relationship with adude for 4-5 yrs now,what I real remember nimepata kutoka kwake is a perfume tena inaitwa women story,am working and he is working,I pay my rent,dstv,fuel and service my car,kila siku sikosi kupeleka mizawadi kwao,SIJAWAHI KUMTEGEMEA KWA CHOCHOTE KILE,ata wen am broke siwezi kumwomba hela,coz naamini kama mm nahishiwa yeye ni binadamu pia lazima anaishiwa kama mm,na majukum ya familia kila mtu anayo,navyoelewa mimi mwanamke unatakiwa ujitegemee maana ww ndie mlinzi haswa wa familia,jitahidi kujitegemea ndugu yangu si unajua mtegemea cha ndugu Hufa maskini,jitahidi kujitegemea je anakuoa leo kesho anakufa nani atakulipia dstv na mafuta ya gari?be indipendent dear,nakupenda sana,mapwnzi yanatoka moyoni si kutokana na vitu vya dunia.
 
Huyo lazima awe mme wa mtu huyo, hao ndo wanaolipia nyumba ndogo namna hiyo hata hilo gari lazima huyo jamaa atakuwa kanunua yeye. samahi km ntakuwa nimesema vibaya lkn NYUMBA NDOGO nyingi ni watoto wa kichaga saa hivi na ndio wanaoongoza kutembea na VIBABU
 
we huoni kuna laana hapo ya babu LOL.................;)
wewe bwana!kwa umri wako nadhani unaweza kuwa na references nyingi of the same scenario!

huyu binti ni mdogo sana!kuna wakati ninashawishika kuamini HAJUI KWAMBA AMEPENDA
 
...mostly men........may be personal interest.....or national interest........i dont know..........may be........sometimes yes

You can say it again Brother!! Laana ya babu ni sababu ya kitoto!!
 
Hii billionaires club! you know it. I hope utakua na my bro xspin, Nguli, Geof, Sipo, and others. Karibuni sana it can be a very good geti tugeza
Oooh!! thanks alot, its my pleasure
 
wewe bwana!kwa umri wako nadhani unaweza kuwa na references nyingi of the same scenario!

huyu binti ni mdogo sana!kuna wakati ninashawishika kuamini HAJUI KWAMBA AMEPENDA


Za laana za mababu eh???? wala mie am just waiting for Mr. Right!!! and I pay all my Bills kwa raha zangu!
 
uzoefu unathibitisha kwamba watu wote waliowashauri marafiki waachane na wapenzi wao HAWAKUFANIKIWA!WALIISHIA KUAIBIKA
 
Huyo lazima awe mme wa mtu huyo, hao ndo wanaolipia nyumba ndogo namna hiyo hata hilo gari lazima huyo jamaa atakuwa kanunua yeye. samahi km ntakuwa nimesema vibaya lkn NYUMBA NDOGO nyingi ni watoto wa kichaga saa hivi na ndio wanaoongoza kutembea na VIBABU

How did you conduct your research? na ulifanyia research watu wangapi?
If am among your sample nitoe coz mimi sio nyumba ndogo!!
 
uzoefu unathibitisha kwamba watu wote waliowashauri marafiki waachane na wapenzi wao HAWAKUFANIKIWA!WALIISHIA KUAIBIKA

Hahahahaha na wanao shauri mm nisimuoe Vivian unawachukuliaje hawa mpwa?
 
huyo lazima awe mme wa mtu huyo, hao ndo wanaolipia nyumba ndogo namna hiyo hata hilo gari lazima huyo jamaa atakuwa kanunua yeye. Samahi km ntakuwa nimesema vibaya lkn nyumba ndogo nyingi ni watoto wa kichaga saa hivi na ndio wanaoongoza kutembea na vibabu
stupid!
 
hivi,
kwanin kila mtu anashauri aachane nae?


labda coz babu alishasema mchaga hana nafac kwao, nahic kama huyo mkaka muongo tu jamani, makabila yote hayo aseme babu kasema mchaga tu? na kwanini babu aseme hivyo kuhusu sie wachaga au walimfanya nini yarabi...nadhani huyu kaka ana wake wa dhati akaamua kuingia kwa gia hii kwa Viv....wake up mami.
 
labda coz babu alishasema mchaga hana nafac kwao, nahic kama huyo mkaka muongo tu jamani, makabila yote hayo aseme babu kasema mchaga tu? na kwanini babu aseme hivyo kuhusu sie wachaga au walimfanya nini yarabi...nadhani huyu kaka ana wake wa dhati akaamua kuingia kwa gia hii kwa Viv....wake up mami.
nyamayao,
can how do you rate the validity Vs FALLACY of vivian's story?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom