"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

Huyo lazima awe mme wa mtu huyo, hao ndo wanaolipia nyumba ndogo namna hiyo hata hilo gari lazima huyo jamaa atakuwa kanunua yeye. samahi km ntakuwa nimesema vibaya lkn NYUMBA NDOGO nyingi ni watoto wa kichaga saa hivi na ndio wanaoongoza kutembea na VIBABU



phweeeee, hizi research nyingine mnazifanyia chini ya mwembe?
 
Thanks Triplets. Kula tano hapo kwenye color.Kwa kweli she is very young to be anyone prisoner for money. Halafu, huyo jamaa anadharau, kwani kama babu yake aliuwa hapendi wachaga na alimkataza akaridhia ilikuwaje akamfata vivi wetu in the first place. Aache dharau akaoe kijijini kwao basi.


Keshafunikwa na maisha yasiyo ya kwake, hapa ndipo watoto wetu wa kike wanakopotea, wanapenda kuishi maisha ya kufikirika zaidi kuliko maisha yao ya ukweli kutokana na kipato chake. NNa mfano Mzuri tu kama wa huyu. Wife wangu ana rafiki yake waliishi wote Moshi huko miaka kama 7 iliyopita. Huyo rafiki yake ana mdogo wake wa kike yupo hapa town, ana boyfriend wake na km miezi mitatu nyuma walifanya engagement party na wife akaalikwa akawa km ndo dada wa huyo msichana. baada ya miezi km mitatu sasa yule binti juzi kaja home saa tatu ya usiku anasema yule mchumba wake anamtishia maisha, kumuuliza kisa hasemi anasema yeye hamtaki, wakati hapo nyuma kama mwezi alikutana na wife akamwambia kuna jamaa kakutana nae kampa laki mbili kamwambia amfuate Morogoro, na demu kweli akamndanganya mchumba wake anaenda Arusha kwa dada yake, kumbe kenda Morogoro kumegwa, wife akimuuliza kwa nini unafanya hizi eti mtu anakupa laki mbili ghafla tu, utakataa na huyo ni mtoto mdogo nadhani ana 22 fulani hivi. Mchumba wake ni mfanya biashara na maisha yake ni ya wastani tuu, kapanga chumba na sebule Sinza, lkn demu ndo hajatulia MBAYA. DADA zetu msipende sana ubwete jamani kma payslip yako inakuruhusu kwa nini usiwe responsible kwa maisha yako mwenyewe?
 
Thanks Nguli. Ukweli pesa sio care!! But Nguli ukweli upo pale pale, Am already a spoilt Child. just look at this break down

DSTV..... 101,000
RENT......250,000
FUEL......150,000
Hizo ndo Gharama za kuonekana, Tukiachana inabidi nibadili nyumba, atleast nipate ya 120,000/month. and no Dstv.
But I have to do it brother.

Vivian tell me ur kidney!! huyu ni kijana au mzee/fisadi kwa kijana anayependa maendeleo angekuuoa na mkasave mkajenga ka geto kenu, na kwa nini wewe ukubaliwe kufanyiwa yote hayo? wewe mshahara wako unafanya nini?? Hata ukimwacha atakayekuja kama ana kamshahara ka TSJ/TSG lazima umpotezee.

Utawasababisha wadogo zako au dada zako wa MOSHI watu wazidi kuwakimbia.
 
Vivian tell me ur kidney!! huyu ni kijana au mzee/fisadi kwa kijana anayependa maendeleo angekuuoa na mkasave mkajenga ka geto kenu, na kwa nini wewe ukubaliwe kufanyiwa yote hayo? wewe mshahara wako unafanya nini?? Hata ukimwacha atakayekuja kama ana kamshahara ka TSJ/TSG lazima umpotezee.

Utawasababisha wadogo zako au dada zako wa MOSHI watu wazidi kuwakimbia.
hehehe!mpwa,
huyu binti hii ni tabia yake tu
 
dada Vivian Umri gani huu unauzungumzia??? you are soo young....u know what? am 10 yrs older than u (seriously) and planning my pre nups..... LOL

Kama hana mpango wa baadaye nawe u can plan on moving on lakini UMRI usiwe sababu ! Ama una hofu Dstv itakwatwa???? come on gal! when I was your age...we acha tu hata kuolewa hakukuwahi kunipitia hata ndotoni, am serious!

I did'nt know that Shishi! Am thinking of marrying a second wife. Will you marry me? Ujuzi kwenye hiyo red huwa hauzeeki. Yu knoo woram seyying?
 
uzoefu unathibitisha kwamba watu wote waliowashauri marafiki waachane na wapenzi wao HAWAKUFANIKIWA!WALIISHIA KUAIBIKA
yeah sana tu......unafiki na uzandiki ni mbaya sana kwenye sekta ya mapenzi........you better take it kwenye politics it can we work
 
hivi,
kwanin kila mtu anashauri aachane nae?

Geoff kwani wewe huoni kama huyu bwana anampotezea Vivian muda wake, kama Vivian angekuwa anafagilia hali ya kukaa tu na kuenjoy relationship bila ndoa hapo nisingekuwa na la kusema maana ingekuwa ni makubaliano yao wote wawili, lakini mtu anaye taka kuwa huru ku enjoy yaliyo kwenye ndoa na binti anayetaka kuolewa huku akiwa ameweka wazi nia yake ya kutomuoa huyo binti, huyo ni wa kuachana nae...

ndoa zina mishike mishike yake, siku likitokea la kutokea wataanza ku recall laana ya babu...na kama ndugu na jamaa nao wanaamini kwenye hizo laana ndio kabisaaa
 
I did'nt know that Shishi! Am thinking of marrying a second wife. Will you marry me? Ujuzi kwenye hiyo red huwa hauzeeki. Yu knoo woram seyying?
hehehehe!mpwa una kazi ya kukimbizana na pages,tuko ya kumi na moja wenzio
 
Geoff kwani wewe huoni kama huyu bwana anampotezea Vivian muda wake, kama Vivian angekuwa anafagilia hali ya kukaa tu na kuenjoy relationship bila ndoa hapo nisingekuwa na la kusema maana ingekuwa ni makubaliano yao wote wawili, lakini mtu anaye taka kuwa huru ku enjoy yaliyo kwenye ndoa na binti anayetaka kuolewa huku akiwa ameweka wazi nia yake ya kutomuoa huyo binti, huyo ni wa kuachana nae...

ndoa zina mishike mishike yake, siku likitokea la kutokea wataanza ku recall laana ya babu...na kama ndugu na jamaa nao wanaamini kwenye hizo laana ndio kabisaaa

wewe unadhani babu anaweza kusema hivyo?
 
Za laana za mababu eh???? wala mie am just waiting for Mr. Right!!! and I pay all my Bills kwa raha zangu!

Shishi mamiii, umenisuuza ile mbaya hapo kwenye ready


Back to Vivi, huyo jamaa mbona kama namtilia shaka mimi, laana nyingine hazina msingi huyo jamaa kama ana nia ya kukuoa angekuoa tu na hiyo laana isinge mpata kwani jambo gani baya hapo litamfanya kupata hiyo 'laana'??

huyo babu yake analake jambo kuwachukia wachaga, akaamua kupandikiza na kizazi chake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom