Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
...NA mashemeji wa wachaga?Makaka wachaga utawajua tu.
...NA mashemeji wa wachaga?Makaka wachaga utawajua tu.
duh!Hey guyz! I've got A boyfriend who really cares for me monetary wise!! The opposite side of the coin is that we have no marriage plans!. The way I look at him I dont see my future with him. Nataka kumuacha lakini nashindwa jamani. Alishawahi kunitamkia wazi, Babu yao aliacha laana kwao mtu yeyote aioe mchagga and he wont go against that! At the age of 24 I really need a serious relationship!! am sorry my Pal if you are reading this! Am not growing any younger!!!
Please members just advise on how am I going to tell him to go on his own!! This guy has been paying my rent, DSTV bills, Fueling my Car frequently, Lots me kwakweli. But I just need to say enough now.
Jamani nashindwa nimuanzeje?
Yes, I didhehehehe!ulikumbuka kugonga SENKSKI?
Makaka wachaga utawajua tu.
lakini na yeye walau anakava mambo ya billsJamani nijuavyo mimi mwanaume akikupenda kiukweli na hata iweje ishu za laana , sijui wazazi zote huwa zinazibiwa masikio. Huyo ANAKUEJOY MY DEAR vIVIAN, UNAWEZA KUTA ANA KITU CHAKE SAAFI ANASUBIRIA MUDA MUAFAKA, BUT IN THE MEAN TIME ANAPATA PA KUPOTEZEA MUDA, PLS STUKA
Yaani fidel no again, I have said no!! Kwenye Heineken nakukaribisha sana!! but Everything has to End there!!
At some point this can work but on the other way round its dangerous for your health, family and life too, you better struggle for yourself,
umekula SENKSI!halafu naomba tuwasiliane,nitakupigiaYes, I did
Jamani nijuavyo mimi mwanaume akikupenda kiukweli na hata iweje ishu za laana , sijui wazazi zote huwa zinazibiwa masikio. Huyo ANAKUEJOY MY DEAR vIVIAN, UNAWEZA KUTA ANA KITU CHAKE SAAFI ANASUBIRIA MUDA MUAFAKA, BUT IN THE MEAN TIME ANAPATA PA KUPOTEZEA MUDA, PLS STUKA
Thanks Nguli. Ukweli pesa sio care!! But Nguli ukweli upo pale pale, Am already a spoilt Child. just look at this break down
DSTV..... 101,000
RENT......250,000
FUEL......150,000
Hizo ndo Gharama za kuonekana, Tukiachana inabidi nibadili nyumba, atleast nipate ya 120,000/month. and no Dstv.
But I have to do it brother.
you tell us do you love him OR NOT!....shule hapa sio hojaThanks alot. Thats the reality!! Tatizo la jamaa ni shule I think!!
hivi,nakushauri uachane nae haraka sana kwa sababu nzuri tu ya ku waheshimu mizimu ya ukoo na kuepuka laana, halafu baada ya hapo jipange vizuri, weka ka bejeti kako sawa ndani ya pay slip yako, nyumba unayolipia mwenyewe ina raha mamii hata kama sio ya laki mbili na nusu, usikubali mtu akulipie bili yoyote, halafu utafute aliyetayari kumpenda na kuoa binti wa kichaga
...mostly men........may be personal interest.....or national interest........i dont know..........may be........sometimes yeshivi,
kwanin kila mtu anashauri aachane nae?
hivi,
kwanin kila mtu anashauri aachane nae?
kumshauri mtu amuache mpenzi wake SIO SAHIHI!SIO BUSARA!SIO MAADILI!...mostly men........may be personal interest.....or national interest........i dont know..........may be........sometimes yes
Thanks Triplets. Kula tano hapo kwenye color.Kwa kweli she is very young to be anyone prisoner for money. Halafu, huyo jamaa anadharau, kwani kama babu yake aliuwa hapendi wachaga na alimkataza akaridhia ilikuwaje akamfata vivi wetu in the first place. Aache dharau akaoe kijijini kwao basi.Vivian, Vivian!
kwanza wewe bado mdogo sana bibie...jitoe kabisa kwenye haya masuala ya mabuzi, yana cost ndugu yangu na moja ya cost yake kubwa ni hii ya kukosa uhuru wa kutoka kwenye relationship kwa uhuru na raha zako any time you want..
nakushauri uachane nae haraka sana kwa sababu nzuri tu ya ku waheshimu mizimu ya ukoo na kuepuka laana, halafu baada ya hapo jipange vizuri, weka ka bejeti kako sawa ndani ya pay slip yako, nyumba unayolipia mwenyewe ina raha mamii hata kama sio ya laki mbili na nusu, usikubali mtu akulipie bili yoyote, halafu utafute aliyetayari kumpenda na kuoa binti wa kichaga