TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,080
Nilishasema nchi hii ni kama panya wa maabara. Hizi helikopta zimeletwa na rafiki zake nyalandu wamarekani kama msaada. Tuliandika kuwa ni chakavu na hazifai. Tukapuuzwa. Nyalandu kwa kuutaka uwaziri akatupuuza. Sasa yametufika. Haya madude ni mabovu. Yamepakwa rangi tu. Poleni wafiwa wote. Nyalandu ni janga jamani. Eleweni tunachosema.
Aisee...! Kumbe. tuhuma za ubadhirifu wa mali za umma na ujangili juu yake zitakuwa za kweli.