Duh masikini tumepoteza helicopter iliyonunuliwa kwa pesa za walipa kodi
We ----- tu aisee!! usidanganyike na akaunti hizi madha fanta.
Kwani vipi? kuna mtu kaibiwa?
Nilishasema nchi hii ni kama panya wa maabara. Hizi helikopta zimeletwa na rafiki zake nyalandu wamarekani kama msaada. Tuliandika kuwa ni chakavu na hazifai. Tukapuuzwa. Nyalandu kwa kuutaka uwaziri akatupuuza. Sasa yametufika. Haya madude ni mabovu. Yamepakwa rangi tu. Poleni wafiwa wote. Nyalandu ni janga jamani. Eleweni tunachosema.
Poleni Sana. R.I.P 'askari wetu'Dah inauma hasa ukimjua aliefarik, rest in peace captain wetu mcheshi.
Poleni Sana. R.I.P 'askari wetu'