Heaven on Earth baby uko wapi?

Nipo wapenzi wangu.
Ila jamani sijui naonaje? Nashindwa kabisa kurudi ktk enzi zetu zile...
Nimekuwa mzito sana wa kuchangia,ama kweli nyakati zikipita hazijirudii.

Kabisa, them old times. ..tumebaki kuzicherish tu, inabidi tuendane na nyakati hizi mpya ili tusipate tabu sana
 
Nipo wapenzi wangu.
Ila jamani sijui naonaje? Nashindwa kabisa kurudi ktk enzi zetu zile...
Nimekuwa mzito sana wa kuchangia,ama kweli nyakati zikipita hazijirudii.
Waooo nifah !! Umerudii kweli umepotea mama last seen mwaka juz kwelii huutendei hak jf .
 
Jamani hili toto,mrembo wa JF,nimemmiss sana,hata awe na watoto 17 ila kama hana mtu nipo tayari kumvalisha pete la ndoa.
Akitoa chozi nimfute,nimkiss halafu nimtakie (nakupenda wewe peke yako).

Niko na ma twins tu... Njoo tuyajenge.. Nakumiss sana Lovito wangu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom