Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,024
Hahaa asante sana mamy..katka kitu nachovutiwa nacho ni lips zangu..sasa zinakaukaaaaaa kama za kangI lugola bwana..ntafanya baadaye .
Hahaha!, eti za nan!, haki wewe!
Hahaa asante sana mamy..katka kitu nachovutiwa nacho ni lips zangu..sasa zinakaukaaaaaa kama za kangI lugola bwana..ntafanya baadaye .
Hahaa asante sana mamy..katka kitu nachovutiwa nacho ni lips zangu..sasa zinakaukaaaaaa kama za kangI lugola bwana..ntafanya baadaye .
Mkikamatwa sipoHahaa asante sana mamy..katka kitu nachovutiwa nacho ni lips zangu..sasa zinakaukaaaaaa kama za kangI lugola bwana..ntafanya baadaye .
Hahaha!, eti za nan!, haki wewe!
Na hii tip nyingine nilipata ya kuwa comfortable na high heels..
Na nifahZa kujificha njema kabisa. espy nilikimbia naye ila nimerudi naye pia lol
Amerudi piaNa nifah
Ngojea nitafute post zakeAmerudi pia
Na nifah
Amerudi pia
Nipo wapenzi wangu.
Ila jamani sijui naonaje? Nashindwa kabisa kurudi ktk enzi zetu zile...
Nimekuwa mzito sana wa kuchangia,ama kweli nyakati zikipita hazijirudii.
Waooo nifah !! Umerudii kweli umepotea mama last seen mwaka juz kwelii huutendei hak jf .Nipo wapenzi wangu.
Ila jamani sijui naonaje? Nashindwa kabisa kurudi ktk enzi zetu zile...
Nimekuwa mzito sana wa kuchangia,ama kweli nyakati zikipita hazijirudii.
Jamani hili toto,mrembo wa JF,nimemmiss sana,hata awe na watoto 17 ila kama hana mtu nipo tayari kumvalisha pete la ndoa.
Akitoa chozi nimfute,nimkiss halafu nimtakie (nakupenda wewe peke yako).