Naomba kuuliza hivi SMILES na BEAUTY ni mapacha na hapa JAMII FORUMS?
kipi kinachokufanya uwaone kama mapacha?? inawezekana kweli eeeh??Naomba kuuliza hivi SMILES na BEAUTY ni mapacha na hapa JAMII FORUMS?
na hawa wanaboa
malaria sugu
tandale one
lukolo
Majidi
Nawapasulia.
Hapa sijui unamaanisha nini kiongozi.....? :confused2::confused2:
Kama wewe ni mwanaume, First Lady mwondoe kabisa kwenye list yako na usithubutu kumtaja tena. Watu wataku-pm sasa hivi halafu mkwara utakaoupata patakuwa hapatoshi. Hata hivyo usiwajali sana hawana lolote yeye mwenyewe keshawatangazia ukumbi mzima kwamba ni mke wa mtu, na kweli atakuwa hadanganyi sababu anaonekana ni mshauri mzuri sana hasa kwenye maswala ya migogoro ya wanandoa!
Nyamayao habari za asubuhi:doh::doh: samahani habari za mchana unajua huku kinondoni hii:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:sijui wamenichanganyia na mashudu ya nini
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Tukikutana utaelewa zaidi akchuale huwa napenda zaidi kufanya praktiko ili twende sawa nitakufanyia praktiko
E=mcsquared mwenzangu kuna lililokukuta ambalo sijaling'amua :couch2:
Tukikutana utaelewa zaidi akchuale huwa napenda zaidi kufanya praktiko ili twende sawa nitakufanyia praktiko
Vipi ulikuwa unaivuta kwa mtindo upi? Naona ndio maana huko upstairs kwako hakujakaa sawa!haaa yaani umenikumbusha njoro vibaya sana...kwema kipenzi.
Halafu na wewe kwa kuniharibia hivi?akitaja jina FL anapewa kizunguzungu kwa lazima...lol, yani kuna visa humu ndani jamani...na atakuwa ni Asprin tu huyo.
haaa yaani umenikumbusha njoro vibaya sana...kwema kipenzi.
Daah jamani watu waonevu humu ndani..Danity naona unajiaonea mwenyewe!Dah Kaka maisha yako yalikuwa mikononi mwake sipati picha kwenye knockout phase ila najua kati ya BEAUTY NA SMILES mmojawapo ange cover nafasi yako sababu hawa ni wataalamu wa kupiga HOTBOX wao huwa wanapiga wakiwa kwenye gari huku vioo vyote vimepandishwa bila hata ya kuwasha AC
akitaja jina FL anapewa kizunguzungu kwa lazima...lol, yani kuna visa humu ndani jamani...na atakuwa ni Asprin tu huyo.
Vipi ulikuwa unaivuta kwa mtindo upi? Naona ndio maana huko upstairs kwako hakujakaa sawa!
Kwema niko kinondoni na Teamo tuna:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:ila ndugu yangu Teamo nahisi watamuibia wallet maana hali yake imeishaanza kubadilika
hahahahaha yaani Nyamayao kijana kaniacha hoi kaongea kwa upole jamani
Kama si Asprin basi atakuwa Teamo huyu na si bure watakuwa tayari walikuwa pombe tu na ngoma za alaji alaji ziko kichwani
ukimaanisha mie mentor? wote mie na wewe tumetumia sana hii kitu ndio mana kila mmoja wetu anamuona mwenzie hamnazo, ucjifanye umesahau kjjn.