Hawa watu wananivutia sana

Halafu na wewe kwa kuniharibia hivi?

kwanini lakini umeamua kufanya hivyo? c uache kila mtu ajaribu bahati yake?..kwanza kasema FL ameolewa, kwanini unatumia mabavu yako kumsumbua mke wa mwanaume mwenizo?na kuwafanya wengine wawe na hofu hata ya kumsalimie FL, nakuripoti kwa mod kwa niaba ya mlalamikaji....:shut-mouth:
 
kwanini lakini umeamua kufanya hivyo? c uache kila mtu ajaribu bahati yake?..kwanza kasema FL ameolewa, kwanini unatumia mabavu yako kumsumbua mke wa mwanaume mwenizo?na kuwafanya wengine wawe na hofu hata ya kumsalimie FL, nakuripoti kwa mod kwa niaba ya mlalamikaji....:shut-mouth:

Kama unampenda utamlinda! Na wewe kama kuna mtu anakuletea za kuleta, usisahau kuniPM nikusaidie kumnyoosha? Sawa dada chizi wangu?
 
Kama unampenda utamlinda! Na wewe kama kuna mtu anakuletea za kuleta, usisahau kuniPM nikusaidie kumnyoosha? Sawa dada chizi wangu?

sasa naona unawinda wengine, beauty na smiles....shikaga moja nawe.
 
Dah Kaka maisha yako yalikuwa mikononi mwake sipati picha kwenye knockout phase ila najua kati ya BEAUTY NA SMILES mmojawapo ange cover nafasi yako sababu hawa ni wataalamu wa kupiga HOTBOX wao huwa wanapiga wakiwa kwenye gari huku vioo vyote vimepandishwa bila hata ya kuwasha AC

Hapo katika red!!ili sector zote zihamasike!!
 
There are currently 35 users browsing this thread. (12 members and 23 guests)

Bacha nakuona hapa...Say something. Naona jana watu walikuvalia njuga, usihofu hii ndio JF. Na hiki kifaa kipya Danity, naomba usikiingilie! Nshakamata kontakti zake:A S 13::A S 13::A S 13:

At looooooong last! bht ndani ya nyumba! Hujambo mshikiz? Ulikuwa umeolewa wapi ukaachika mara?
 
UngeRIP chama kingepata pigo kubwa sana. Smiles angechukua nafasi yako...anaelekea anaimudu sana!

Niko tayari ku-apply rule 3 kwa huyu infii anae:A S-smoking:.....kuna mhitaji?
 
Naona wengi kwenye hiyo orodha ni wanachama wa infidelity.
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members

THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
 
NAWAPASULIA
View Profile View Forum Posts Private Message View Articles Add as Contact

Junior Member


--------------------------------------------------------------------------------

Join Date:Tue Oct 2010
Posts:6
Thanks:0
Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power:0


na hawa wanaboa
malaria sugu
tandale one
lukolo
endelezeni....................
 
There are currently 35 users browsing this thread. (12 members and 23 guests)

Bacha nakuona hapa...Say something. Naona jana watu walikuvalia njuga, usihofu hii ndio JF. Na hiki kifaa kipya Danity, naomba usikiingilie! Nshakamata kontakti zake:A S 13::A S 13::A S 13:

At looooooong last! bht ndani ya nyumba! Hujambo mshikiz? Ulikuwa umeolewa wapi ukaachika mara?

ndio kusema?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom