Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Halafu na wewe kwa kuniharibia hivi?
kwanini lakini umeamua kufanya hivyo? c uache kila mtu ajaribu bahati yake?..kwanza kasema FL ameolewa, kwanini unatumia mabavu yako kumsumbua mke wa mwanaume mwenizo?na kuwafanya wengine wawe na hofu hata ya kumsalimie FL, nakuripoti kwa mod kwa niaba ya mlalamikaji....:shut-mouth: