Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 498
- 106
Hivi mtoa mada mbona ameishia mitini??
Nisubiri hapo Counter nakuja.....:rain:
We mdada umenichekesha sana lol..........
Mbona sasa huonekanii, sikuoni hata Zero Pub!!kama ni mapeenzi haaaani BASI YAMEKWISHA ZAMAAAAAAAAAAAAANIIIIIIIIIIIIIII!
:llama::llama::llama:
Eeee...,naona unavutiwa na majina mepesi kuyaandika na kuyatamka...ahahahaaa! Karibu jukwaani.Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
kaka mbona hukuitendea haki rule Number 3 mkuu?Sasa si useme ili nikuchape tena...shshsss!
///Dah hope kazier/asprin hawasikii///
Kwa hiyo mmekonkludi nini sasa? Kwamba Danity ndio bht au bacha?
Hivi mtoa mada mbona ameishia mitini??
kaka mbona hukuitendea haki rule Number 3 mkuu?
KakaKiiza, Mi naomba favor 1,
Hiyo avatar yako itanifanya nizikimbie post zako wakati naelimika sana kupitia kwako....................... Please!
na hawa wanaboa
malaria sugu
tandale one
lukolo
endelezeni....................
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
dah, mkuu unapotea sana siku hizi... sio fresh mazeeHivi mnapenda majina au watu wenyewe? maana sijaona Chamtu-mimi nikapendwa hapa ndani. Jina ndo linawafanya mniogope??? Anyway, heri mimi sijapendwa .
dah, mkuu unapotea sana siku hizi... sio fresh mazee
ah, chamtu-maviiiiiiiii:A S 13:
dah, mkuu unapotea sana siku hizi... sio fresh mazee
ah, chamtu-maviiiiiiiii:A S 13:
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Unaweza kukuta ni akina Mama Salma Kikwete, Shimbo, Membe, Line Manager wako, Lecturer wako, baba yako.
mkuu finest... niko bize nahamisha meza... chamtumavi anataka kununua kafu na chademaCousin umepotea sana kaka yangu au ndio majukumuu mazeee