mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,857
Mpaka Wamekuwa kero hawa watu sms mnatuma mpaka 6 kwa saa moja na zote zikiwa na mlengo mmoja hiyi maana yake nini? Na namba zangu kawapa nani? Endapo mtaendelea na hiyi tabia nitaenda kustaki mahakamani kwa kunipotezea muda wa kusoma sms zenu zisizo na msingi