Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,609
- 4,776
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani