wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,939
King hayupo hapo sababu hapendi show-ofu ila thamani ya mapetepete yake yanakadiriwa kufikia bilioni 100!
Acha ikuingieHahahahaha mnajitekenya na kuchemka wenyewe.....
Bado ananyonya kwa mama, hajastuka.Alikiba hayupo kwenye hii list? Au hapendi show off?
Mkuu hii ungeipeleka jokes tu,.Acha ikuingie
Nature yetu wa bongo....kama hauamini nenda bar mpe offer ya beer mbili mtu ambae hana kitu...then mpe kisogo kama hajasema yeye ndio boss wako.Kweli pata pesa tujue tabia yako. Yan diamond anaingia mara 30 kwa pesa ya psquare. !!!!!!!!! Ila kwa mbwebwe anawazidi mara 100
We madame Boss unamjua au unamsikia sikia? Yuko njema sana.Hakuna research kama hizo.......... its a hoax. Numbers dont work that way.. Yani Akothe anamzidi Davido hela......
Basi kama ndivyo then tusibishe watu wakisema Ali Kiba anamzidi hela Platnumz.
Naona imekuuma balaaa cyo kwa povu hiloMmekosa kiki mmeamua nje na hii....team kiki bhana
Usiishi kwa mazoeaAcha sound bab unamjua mopao ww? Unamjua keita ww? wa Mali ww je unamjua Casper nyovest
Punguza mahaaba bab
sidanganyiki n'gooUsiishi kwa mazoea
Iyo ya 2010Akon.
Don jazzy.
Chameleone.
Tamer hosny
D'banj
Sawa mkuuIyo ya 2010
Unatakiwa uwe updated usikalili acha Dogo awakimbize nataraji mwKani ndo atakuw anaongoza listSawa mkuu
Naumwa na nn au umedata ulipomkosa chameleon domo anawatoa mapovu eeehUnaumwa ww!! Eti Akothee!! Unamjua Chameleon Ww??
Unatakiwa uwe updated usikalili acha Dogo awakimbize nataraji mwKani ndo atakuw anaongoza list