mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 607
Naona baada ya kusikiliza Millard ayo umekimbia kuja huku kuandika ha ha ha
Izo ni research zimefanywa sema kinachokuuma kubwa la maadui ndo yumo kwny listWakenya wanatabia ya 'kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa' ...
Dont rely much on them.... they always take us for fools....
4$ million kakaHiyo dola 400 m ya diamond ni typing error ama ni kweli
Hakuna research kama hizo.......... its a hoax. Numbers dont work that way.. Yani Akothe anamzidi Davido hela......Izo ni research zimefanywa sema kinachokuuma kubwa la maadui ndo yumo kwny list
Jamaa ana mkwanja mrefu sana daah billion 9 za madafu cyo jambo la kitotoNajua hata diamond naye anasoma hii thread maana hata kwake hii ni news! Unafikiri billions 9 mchezo! Hahaaa.
Na ww fanya research utuletee list yako ambayo ni ya kweli....yao ndo hiyoHakuna research kama hizo.......... its a hoax. Numbers dont work that way.. Yani Akothe anamzidi Davido hela......
Basi kama ndivyo then tusibishe watu wakisema Ali Kiba anamzidi hela Platnumz.
Unaingiaje laini kwa Ujinga wa wazi huu........labda ujitoe akili.Jamaa aliyedraft hii article kajitungia tu na wote mmeingia line
Toa neno research hapo......... huu ni urongo ,.Na ww fanya research utuletee list yako ambayo ni ya kweli....yao ndo hiyo
Imewauma eeeh.....domo endelea kukimbiza nwakani list ikitoka uwe namba moja kabisaHyo list fake sidhan kama diamond anamzid dbanj...2face..na yule jamaa meneja wa kina Tisa savage...hata demu alioshirikiana na John Makini ana zaid ya bil80....someni wasanii matajir Nigeria tu utaona kibao wamevuka hiz bil9....achen ushabiki
D,banj alisha filisika yuleHyo list fake sidhan kama diamond anamzid dbanj...2face..na yule jamaa meneja wa kina Tisa savage...hata demu alioshirikiana na John Makini ana zaid ya bil80....someni wasanii matajir Nigeria tu utaona kibao wamevuka hiz bil9....achen ushabiki
Tatzo watu wanaishi kwa mazoeaD,banj alisha filisika yule