Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Mtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.