Atakua namba moja kuwa huu uwekezaji wa bajaj mjiniYeah ndo anakoelekea lazima achukue namba moja yaani hainaga kufeli
Jina lako tu jibu toshaDiamond hawezi kuwa na net worth ya 9bil,kwa assets zipi alizonazo?
milard & edaily wanataka kuongeza traffic kwenye blog zao tofauti na hapo hakuna jipya ..Hiyo ni yako, lkn according to edaily Kenya list yao ni hiyo apo juu....kama vipi na ww njoo na list yako
Ndio lilikuwa lengo kuu la huu uzushi!Akothee?
Kwa Mtu mwenye pesa bilioni hashangai ndio maana kuna mabilionea wa ukweli,kwa nyinyi ambao hamjui bilioni ni nini ndio maana mnaamini mnavyoambiwa diamond ana utajiri wa bilioni 9,bilioni 9 my ass!!!Wewe kweli hamnazo hivi kwa mtu mwenye pesa ukimwambia bilioni atashangaa?
Ila maskini wa akili kama wewe unaemini kuna vitu haviwezekani kwa sababu wewe umeshindwa basi kila mtu hataweza kumiliki
Hahahahahaaa imenibidi nicheke tu jinsi unavoandika tu utafikiri James delicious......kina Elton john kumbe weng eeeehKwa Mtu mwenye pesa bilioni hashangai ndio maana kuna mabilionea wa ukweli,kwa nyinyi ambao hamjui bilioni ni nini ndio maana mnaamini mnavyoambiwa diamond ana utajiri wa bilioni 9,bilioni 9 my ass!!!
Kwa Asset gani alizonazo?jibu swali acha maneno ya kwenye kangaJina lako tu jibu tosha
Ushaanza kwa dharau so hakuna ata haja ya kukuelezea asset zakeKwa Asset gani alizonazo?jibu swali acha maneno ya kwenye kanga
pesa madafu hatuoList halisi na ya ukweli ni hii
1.YOUSSOU NDOUR-SENEGAL
2.P-SQUARE-NIGERIA
3.D BANJ-NIGERIA
4.KOFFI OLOMIDE-CONGO
5.SEIF KEITA-MALI
6.FALLY IPUPA-CONGO
7.2 FACE IDIBIA-NIGERIA
8.HUGH MASEKELA
9.BANK W-NIGERIA
10.JOSE CHAMELEON-UGANDA.
Muziki wa marekani na afrika vitu viwili tofauti bro tuache.We nawe acha ushamba Mkuu unashangaa akothe kumzidi hela davido....
Mbona Adele kamzid hela Beyonce hiyo kawaida sana