Je ni kweli wasanii wetu wananunua views na trending?

brownboy

Senior Member
Jun 10, 2023
100
267
Si haba kuona wasanii wetu wakifikisha views million 2 kwa siku na zaidi kuingia number 1 trending the same day kuwashinda hata wanigeria kama kina Burnaboy wizkid Davido etc. Shida inakuja kwenye shows na mapato ya wasanii, wanigeria wametuzidi mno.

Wao ni kawaida kujaza shows tofauti tofauti za nje ya nchi mfano O2 Arena viwanja vya mpira vikubwa etc. Tofauti na huku bongo ni nadra sana kukuta msanii anajaza shows za nje, na ukikuta imejaa basi ujue sio yake ameitwa tu au ameomba appearance. Wao shows zao za nje wanafanyia vyumbani na hazijai.
 
Bongo ushamba mwingi yaan sisi ni washamba kuptiliza
Msanii ana mamilioni ya mashabiki duniani kwann asifikishe viewers million mbona wasanii wa marekan wanamabilion ya mashabiki duniani mbona wanamabilion ya maviewers na hamsemi kwamba wananunua?
Kwann ni wabongo tu ndy wananunua em acheni ushamba na msapot vya kwenu man
Yaan sijui ni kwanini hamkubali vyakwenu yaan mtu anavaa mitumba iliovaliwa na mzungu Ila akiambiwa hii nguo imevaliwa na mbongo nunua anairuka kabisa nakuinyea majibu ya shombo
Wabongo bhana wengi wao wanamiliki simu za mitumba utaskia used from Dubai, used from UK,used from US,na wananunua kwa bei ya simu mpya kabisa yaan simu ya million anauziwa kwa laki 9 au million kabsa na anaridhika
Ila Sasa ikiwa used from bongo hataki kabisa kununua na unakuta kpnd ilkua mpya kutoka kiwandan iliuzwa million now imeshakua used from bongo inauzwa laki moja
Shubaamit
 
Bongo ushamba mwingi yaan sisi ni washamba kuptiliza
Msanii ana mamilioni ya mashabiki duniani kwann asifikishe viewers million mbona wasanii wa marekan wanamabilion ya mashabiki duniani mbona wanamabilion ya maviewers na hamsemi kwamba wananunua?
Kwann ni wabongo tu ndy wananunua em acheni ushamba na msapot vya kwenu man
Yaan sijui ni kwanini hamkubali vyakwenu yaan mtu anavaa mitumba iliovaliwa na mzungu Ila akiambiwa hii nguo imevaliwa na mbongo nunua anairuka kabisa nakuinyea majibu ya shombo
Wabongo bhana wengi wao wanamiliki simu za mitumba utaskia used from Dubai, used from UK,used from US,na wananunua kwa bei ya simu mpya kabisa yaan simu ya million anauziwa kwa laki 9 au million kabsa na anaridhika
Ila Sasa ikiwa used from bongo hataki kabisa kununua na unakuta kpnd ilkua mpya kutoka kiwandan iliuzwa million now imeshakua used from bongo inauzwa laki moja
Shubaamit
Ujumbe mzuri ila uandishi sasa.
 
Bongo ushamba mwingi yaan sisi ni washamba kuptiliza
Msanii ana mamilioni ya mashabiki duniani kwann asifikishe viewers million mbona wasanii wa marekan wanamabilion ya mashabiki duniani mbona wanamabilion ya maviewers na hamsemi kwamba wananunua?
Kwann ni wabongo tu ndy wananunua em acheni ushamba na msapot vya kwenu man
Yaan sijui ni kwanini hamkubali vyakwenu yaan mtu anavaa mitumba iliovaliwa na mzungu Ila akiambiwa hii nguo imevaliwa na mbongo nunua anairuka kabisa nakuinyea majibu ya shombo
Wabongo bhana wengi wao wanamiliki simu za mitumba utaskia used from Dubai, used from UK,used from US,na wananunua kwa bei ya simu mpya kabisa yaan simu ya million anauziwa kwa laki 9 au million kabsa na anaridhika
Ila Sasa ikiwa used from bongo hataki kabisa kununua na unakuta kpnd ilkua mpya kutoka kiwandan iliuzwa million now imeshakua used from bongo inauzwa laki moja
Shubaamit
Hivi vitu vingine wala msiwalaumu wenzenu sote tunajua kitu kilichotoka kutumiwa na mbongo hadi anakiuza huwa kinakuwa na hali gani maana mbongo hadi auze kitu ujue kimechoka, hii ndio sababu hata watu wengi yuko radhi aagize gari used ya 2010 toka nje kuliko anunue used ya 2016 hapa bongo, nafikiri wabongo tujifunze kutumia vitu kistaarabu tuvitunze na kuviacha vikiwa na hali nzuri ili tukiamua kuuza vinunulike kwa bei kubwa badala ya kubebeshana lawama zisizo za msingi
 
Hivi vitu vingine msiwalaumu wabongo sote tunajua kitu kilichotoka kutumiwa na mbongo hadi anakiuza huwa kinakuwa na hali gani maana mbongo hadi auze kitu ujue kimechoka, hii ndio sababu hata watu wengi yuko radhi aagize gari used ya 2010 toka nje kuliko anunue used ya 2016 hapa bongo, nafikiri wabongo tujifunze kutumia vitu kistaarabu tuvitunze na kuviacha vikiwa na hali nzuri ili tukiamua kuuza vinunulike kwa bei kubwa badala ya kubebeshana lawama zisizo za msingi
Naweza sema ni umasikini na vipato duni, mtu akiwa na kipato kizuri atabadili gari, nguo, nyumba ya kuishi, nchi za wenzetu kipato cha mtu mmoja mmoja kipo juu, unakuta mtu kuanzia gari, simu hadi nyumba anayoishi ni mkopo wenye masharti nafuu, kwa hapa kwetu mifumo bado sana, nchi zao zilishajengwa kuwezesha mtu kufikia ndoto yake kwa urahisi, nashauri vijana wengi hasa hapa Tz kama una ndoto kubwa kufika mbali nenda nje, hasa nchi zilizoendelea kama Europe na Amerika.
 
wanamuziki hua sana sana wanafanyaga streamfarming na viewbotting,

streamfarming-unalipa ili uongezewe wasikilizaji kwenye majukwaa ya kusikiliza mziki mfano spotify, deezer

viewbotting-unalipa ili uongezewe watazamaji wa video zako youtube

hizi nimeziskia sana kwa wasanii wa nigeria na mambele, ila hua ni tetesi tu, ni ngumu kuthibitisha.

kwa wabongo nimeona wanatumia sana tiktok, wanatengeneza video wanaweka miziki yao, au wanamlipa mtu maarufu aweke nyimbo zao kwenye video yake....
 
wanamuziki hua sana sana wanafanyaga streamfarming na viewbotting,

streamfarming-unalipa ili uongezewe wasikilizaji kwenye majukwaa ya kusikiliza mziki mfano spotify, deezer

viewbotting-unalipa ili uongezewe watazamaji wa video zako youtube

hizi nimeziskia sana kwa wasanii wa nigeria na mambele, ila hua ni tetesi tu, ni ngumu kuthibitisha.

kwa wabongo nimeona wanatumia sana tiktok, wanatengeneza video wanaweka miziki yao, au wanamlipa mtu maarufu aweke nyimbo zao kwenye video yake....
Ume piga mule mule, hata olamide ana lalamikiwa kutunia streaming farm na view botting.
👉Nyimbo ya oma lay ilikuwa na view m2, toutube, ila Kwenye platform za mziki haija vuka hata 10k stream😂🤒
 
Hivi vitu vingine wala msiwalaumu wenzenu sote tunajua kitu kilichotoka kutumiwa na mbongo hadi anakiuza huwa kinakuwa na hali gani maana mbongo hadi auze kitu ujue kimechoka, hii ndio sababu hata watu wengi yuko radhi aagize gari used ya 2010 toka nje kuliko anunue used ya 2016 hapa bongo, nafikiri wabongo tujifunze kutumia vitu kistaarabu tuvitunze na kuviacha vikiwa na hali nzuri ili tukiamua kuuza vinunulike kwa bei kubwa badala ya kubebeshana lawama zisizo za msingi
Hzo simu used huwa znakuja zmechakaa Ila wanazirekebisha (refurbished) ndiyo mnauziwa ndo maana mnaambiwa ni used as new elewa
Hivi hujawahi kujiuliza ukienda kufanya top up na exchange,hiyo simu yako inapelekwa wapi? inatupwa au?
Ambacho hukijui inafanyiwa refurbishing kisha inaitwa used from Dubai na kwingine ili inunuliwe tena
Lakin wakiitengeneza na ikarud upya wakasema ni used from bongo hamtanunua tu ilhali imesharekebishwa na kurudi kwenye hali ya upya ,bado mtataka tu muuzaji aseme ni used from Dubai, UK, US na kwngne ambapo sio bongo
Dat ma answer for you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom