Having sex with a pregnant woman: What time (month) in her pregnancy I have to stop?

sWALI----ni sahihi kufanya TENDO LA NDOA na MWANAMKE MWENYE UJAUZITO???
JE kama mwanaume ANA kitambi anashauriwa afanye nini??

Ni sahihi kufanya tendo la ndoa na mjamzito, mwanaumw mewnye kitambi inabidi abadili tu style ya kudo na huyo mjamzito.
 
kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke mjamzito ni part ya zoezi litakalo saidia njia ya uzazi wakati wa kuifungua.
 
Jamani wana JF.Hivi kufanya tendo la ndoa na mwanamke mjamzito hairusiwi?Mke wangu alipata ujauzito miezi saba sasa imepita na tokea mimba iingie,tendo la ndoa lasikia tu kwenye bomba.Yeye anadai hana hamu kabisa na mimi na wala hajisikii kuwa na hisia kabisa.Je nifanye nini ndugu zangu naombeni ushauri manake naona uzalendo sasa waelekea kunishinda.
 
Jamani wana JF.Hivi kufanya tendo la ndoa na mwanamke mjamzito hairusiwi?Mke wangu alipata ujauzito miezi saba sasa imepita na tokea mimba iingie,tendo la ndoa lasikia tu kwenye bomba.Yeye anadai hana hamu kabisa na mimi na wala hajisikii kuwa na hisia kabisa.Je nifanye nini ndugu zangu naombeni ushauri manake naona uzalendo sasa waelekea kunishinda.


Kaongee na daktari wake ili awape ushauri. Kama ujauzito hauna matatizo ya aina yoyote basi inaruhusiwa kufanya hivyo, lakini kama mwenzako hajisikii basi umuonee huruma kutokana na hali aliyokuwa nayo na sasa hivi imebaki miezi michache tu kabla ya kujifungua.
 
Pamoja na majibu mazuri ya BAK...kam alivyosema kama ujauzito hauna matatizo yoyote basi ni salama kabisa kufurahia tendo, kama hajisikii...mfanye ajisikie (natumai unanielewa)!
 
Wenye uzoefu na wataalam tujuzeni jamani, ukiacha raha tu je hakuna biological effects kwa mama na mwanae??
 
Tatizo ni hilo la kutojisikia kufanya tendo hilo. Unafahamu kila mimba huja na mambo yake, mwingine anaweza kukataa kukaa na wewe muda wote wa mimba au katika kipindi fulani katika vipindi vile vitatu. Kama kakwambia hajisikii, vumilia, lea mimba tu, maana ukizidi kulazimisha ataona kama unajipendelea mwenyewe bila kujali hali yake. Hatahivyo, kwa kuwa ni miezi saba sasa, ni wakati mwafaka wa kutofanya hilo tendo maana imebaki miezi miwili ambayo anahitaji mapumziko.
 
Mke anapokuwa mjamzito,je aweza kushiriki tendo la ndoa hadi mwezi wa ngapi wa ujauzito wake?
Mkuu kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke mwenye mimba inategemea afya ya huyo mwenye mimba na Dakatri wake alivyompa ushauri. Ikiwa ana afya nzuri hata awe nayo mimba ya miezi 9 anaweza kufanya tendo la ndoa lakama hana afya nzuri itabidi amuone dakatari wake ampe ushauri mzuri. mkuu Je wewe mke wako au mpenzi wako ana ujauzito?Mkuu A Disciple
 
WanaJF,
Wengi wetu tunauzoefu wa kutosha katika suala hilo. Ni ukweli uliowazi kuwa kama haujafanya sex na pregnant woman basi raha ya sex haujaipata kwa kiwango stahili. Kwa wafugaji, sehemu za siri za ng'ombe, mbuzi mjamzito huwa zimetepeta na zinavutia the same kwa mama au dada zetu. Jamani kuleni mzigo huo msiuleee tafadhali hahahhaaaaaaaa! Lakini lazima na yeye apende ndio uta-enjoy.
hilo kubwa mkuu umenikumbusha mbali sana
 
Mkuu, kufanya tendo la ndoa na mwanamke mjamzito ni jambo la kawaida. Mnaweza mkafanya kwa miezi yote 9, lakini zile wiki za mwisho za uchungu mkaacha kufanya. Lakini kama mwanamke ana tatizo la miscarriage, ni vyema msifanye kabisa hicho kitendo na mvumiliane mpaka siku atakapojifungua.

Pia kuna sex positions zake kwa wajawazito na si kila style. Style nyingine si nzuri, na zaweza kusababisha mimba kutoka.
 
...lkn pia ni vema ukamshauri mkeo baada ya tendo la Ndoa apate CHAI au maji hasa ili aweze kwenda Haja ndogo kwani inasaidia akienda Haja Ndogo soon after kujamiiana nae ili asafishe NJIA..!!!

Nipende kukujulisha tu kuwa njia ya mkojo ya mwanamke ni tofauti na njia ya kuelekea kwenye cervix. Kukojoa kwa mwanamke hakusaidii kusafisha njia ya ukeni.[/QUOTE]
wakati wa kujamiiana mwanamke akiwa mimba mbegu huwa haziendi ndani maana cervics huwa imefunga na huwa hairuhusu viu kupenyaisipokuwa kasende na ukimwi vile vile mtoto huwa amefunikwa na membrane mbili ambazo zinnafanya ndani yake kuwa na amniotic fluid ambayo humkinga mtoto na misuguano kutoka nje. vili vile sio kweli kwamba manesi wanalalamika kuwa watoto wanaozaliwa na akina mama wanaojamiana huwa na uchafu , ukitaka kujua hilo nenda na mke wako clinic wakati wa ujauzito utafundishwa kuwa unatakiwa kujamiiana mpaka siku atakayojifungua unless kuwe na tatizo. vile vile akijifungua unatakiwa uanze baada ya siku arobaini na mbili au wiki sita kama hakuna tatizo. mtoto anapozaliwa huwa na utando mweupe ambao sio uchafu ila ni kwa ajiri ya kutunza joto. wanaume ni muhimu kwenda clinic wa wake zenu ili kupata maelezo sahihina sio propoganda na imani ambazo sio kweli
 
Nipende kukujulisha tu kuwa njia ya mkojo ya mwanamke ni tofauti na njia ya kuelekea kwenye cervix. Kukojoa kwa mwanamke hakusaidii kusafisha njia ya ukeni.
wakati wa kujamiiana mwanamke akiwa mimba mbegu huwa haziendi ndani maana cervics huwa imefunga na huwa hairuhusu viu kupenyaisipokuwa kasende na ukimwi vile vile mtoto huwa amefunikwa na membrane mbili ambazo zinnafanya ndani yake kuwa na amniotic fluid ambayo humkinga mtoto na misuguano kutoka nje. vili vile sio kweli kwamba manesi wanalalamika kuwa watoto wanaozaliwa na akina mama wanaojamiana huwa na uchafu , ukitaka kujua hilo nenda na mke wako clinic wakati wa ujauzito utafundishwa kuwa unatakiwa kujamiiana mpaka siku atakayojifungua unless kuwe na tatizo. vile vile akijifungua unatakiwa uanze baada ya siku arobaini na mbili au wiki sita kama hakuna tatizo. mtoto anapozaliwa huwa na utando mweupe ambao sio uchafu ila ni kwa ajiri ya kutunza joto. wanaume ni muhimu kwenda clinic wa wake zenu ili kupata maelezo sahihina sio propoganda na imani ambazo sio kweli[/QUOTE]

labda alitaka kumaanisha kuzuia UTI
 
....am not medical expert but kwa jinsi ninavyofahamu kama mama hana complications kati ujauzito wake na yuko willing unaweza kula mzigo hata mpaka siku moja kabla hajaenda labour. Kinachowaogopesha watu kuwa eti mwanamke akienda kujifungua mtoto atatoka na uchafu (sperms) na wengine kutokujua raha au utamu wa kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito. Mazee ni poa kishenzi i did it to my wife mpaka siku 1 kabla ya kwenda kujifungua.

Muhimu ni kuwa mchague style ambayo mwanamke atakuwa comfortable kutokana na ukubwa wa tumbo na pia you need to do it slowly...Man u'll enjoy it believe me....
Medically hakuna madhara and you can go on until when it becomes uncomfortable for both of you.
Hakuna kitu kama mtoto kutoka ma sperm,sperm zako hazimfikii mtoto kwani yuko kwenye mfuko wake.Vinavyotoka wakati wa kujifungua ni mambo mengine tofauti,tufungue thread yake.
Umemjibu vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom