Having sex with a pregnant woman: What time (month) in her pregnancy I have to stop?

Acheni kuendekeza vitu vingine visivyo na maana kinachompenda na kumkataa mtu sio mimba bali ni nafsi(moyo) Labda mimba hiyo itakuwa ya nje ya ndoa ndo maana itampelekea kumchukia mume na kumpenda aliyeiweka ambaye ni hawala.
 
Baadhi ya wanaume au wanawake wamekuwa wakiwakatalia wake au waume zao chakula cha usiku kutokana na kutojua jinsi ya kukila chakula hicho hasa pale mimba inapofikisha miezi 5 na kuendelea. ...Hizi mbili ni njia za mechi na mama mjamzito. ...kumi na moja(11) mwanamke alale ubavu alafafu apanue mguu ili mtalimbo upite alafu ateremshe na mwanaume atalala kiubavu nyuma yake na kupitisha mtalimbo wake staili hii ni ya kivivu lakini itamfikisha kunako.... . . .2..(kumi nanne) mwanamke alale kiubavu alafu ajikunje kidogo na kurudisha ma*** yake nyuma hadi ulipo mtalimbo ambapo mwanaume atakua amelala kiubavu kitendo cha yeye kubana miguu kitamfanya ajisikie raha kisimini wakati jamaa anaenda nje ndani. Kwa wale wenye vibamia a.k.a kidole gumba a.k.a kijipu sidhani kama wataweza kula vizuri coz kijiko hakita fika vizuri.Tahadhari mimba itakapo fika miezi 8 ni mwiko kula.

Unaonekana jinsi ulivyo mchanga katika mambo hayo. Wenzako tuna takribani watoto zaidi ya wanne. Kumla mama mjamzito kuna style nyingi sana kutokana na uz\oefu wetu, wewe umesoma za kitabuni pole sana Bwana mdogo. Style ya kuosha vyombo (nadhani nyie mnaita chuma....) ni nzuri zaidi la muhimu mbele yake kuwe na kitu cha kujishikiza, basi utaingia mpaka kugusa gololi zileeee. Kama haujamla mama mjamzito basi hujafaidi sex
 
mmmh makubwa haya usiku wa kiza kinene watoto laleni msisikie haya ya wakubwa

mi ninachojua mnatakiwa kumtaarifu aliyetumboni kwanza kwamba mnaomba ushirikiano wake awape privacy ili mlibeneke vizuri bila kujigeuza au kujinyoosha ila ujauzito kazi usiombe hasa ukiwa na hamu
 
Baada ya mama kujifungua, anatakiwa akae muda gani hadi kuanza kula chakula cha usiku tena??
 
...baada ya kujifungua mtoto akamuuliza Mama yake: Eti Mama wakati nipo tumboni kuna nyoka alikua ananitishia kuning'ata halafu anatema mate na kutoka; nikawaza kuwa nikitoka lazima nimkamate, yuko sasa mbona simuoni tena? Mmmh haya subiri nakuja nimalizie
 
...baada ya kujifungua mtoto akamuuliza Mama yake: Eti Mama wakati nipo tumboni kuna nyoka alikua ananitishia kuning'ata halafu anatema mate na kutoka; nikawaza kuwa nikitoka lazima nimkamate, yuko WAPI sasa mbona simuoni tena? Mmmh haya subiri nakuja nimalizie
 
menny terry, mwisho wa kudoo ni pale mama anapojisikia uchungu, tena kwa kuendelea kufanya tendo hilo lenye utam wa pekee humsaidia mama kufunguka njia ya kupitia mtoto mara uchungu umuanzapo. Ila nakushauri uangalie na hali ya mama pia, sababu mimba nyingine humfanya mama kuwa na wakati mgumu kiasi kwamba unapofanya tendo hilo husababisha miscourage! So watch out!
 
Inashauriwa kutumia njia ya kulala ubavu wa kushoto (left lateral position). Mama akilala chali (missionary style) mtoto hukandamiza mwendo wa damu upitao nyuma ya tumbo hivyo sio vyema. Fanya hadi wiki ya 31-32 kisha mpumzishe mama kwa wiki 3-4! Hii ni kwa sababu mbegu za kiume zina enzyme(kimeng'enyo ) fulani kwenye kichwa chake ambacho huweza kufungua nyumba ya mtoto akazaliwa premature! Kuanzia wiki ya 36 waweza endelea hadi uchungu utakapoanza maana wakati huu mtoto anakuwa ameshakomaa!
 
sWALI----ni sahihi kufanya TENDO LA NDOA na MWANAMKE MWENYE UJAUZITO???
JE kama mwanaume ANA kitambi anashauriwa afanye nini??
 
Kutokana na makala moja ya bbc kuwa mwanamke mja mzito anaweza kushiriki tendo hata siku moja kabla ya kuzaa kama atakua ahisi maumivu ila kama maumivu yapo asishiriki,
 
Hakuna tatizo lolote lile kama Doctor hajaweka pingamizi, ila tu la kuhakikisha ni position tu ambayo mjamzito atakuwa comfortable kuendelea na shughuli
 
Unaweza kufanya tendo la ndoa na mwanamke mjamzito katika kipindi cha miezi 6 ya ujauzito,baada ya hapo ni vema ukampa likizo mpaka atakapojifungua,hakutakuwa na madhara kwa mwanamke,isipokuwa tendo la ndoa ktk umri wa miezi 6 ya ujauzito huathiri sana ubongo wa mtoto,
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom