mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
Hujaenda shule tu wewe!mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
Shule gani ulitaka nende ?
You don't need to go to school to be come educated or wise
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
Mods com' on!!!!!!!!! Hii ni haki kweli? Bora FaizaFoxy afunguliwe ila huyu asulubiwe..... Pls Mods!!!!!!!
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
Alianza na topic za kikahaba akaona hazina soko sasa kaamia kwenye siasa. Pole dada, umaarufu hauji haraka hivyounakura pesa za kuibwa ndo umetumwa humu kutujaribu, unatafuta kuiba tena.
kalale mbele