BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,495
Mtu anaamka saa kumi na moja kuwahi kupanda mwendokasi kuwahi kazini kwa mhindi anafanya kazi masaa kumi nonstop kwa mshahara wa laki mbili. Mshahara huo anategemea kutunza familia yake na kulea wazazi wake ambao ni wazee wanasumbuliwa na maradhi.
Unakuta mtu kula mlo kamili ni anasa ameendamwa na shida chungu nzima kwenye maisha yake mpaka ukomo wa maisha yake unafika anakuwa kashaisoma namba.
Alafu mtu huyo anapata maradhi anaangaika hospital na kwa waganga hatimaye umauti unamkuta..
kisa tu alidanganya au alitamani mke asiye wake ndio adhabu yake ni kwenda jehanamu kuchomwa moto wa milele huo si ni uonevu mtu ambaye hajui raha inafananaje toka azaliwe anaenda kuchomwa milele.
Mtazamo wangu watu wote wanaopitia magumu ulimwenguni wapewe freepass peponi pale mauti yanapowakuta huko jehanamu tuwaachie wanaofaidi mema ya nchi kama mafisadi.
Unakuta mtu kula mlo kamili ni anasa ameendamwa na shida chungu nzima kwenye maisha yake mpaka ukomo wa maisha yake unafika anakuwa kashaisoma namba.
Alafu mtu huyo anapata maradhi anaangaika hospital na kwa waganga hatimaye umauti unamkuta..
kisa tu alidanganya au alitamani mke asiye wake ndio adhabu yake ni kwenda jehanamu kuchomwa moto wa milele huo si ni uonevu mtu ambaye hajui raha inafananaje toka azaliwe anaenda kuchomwa milele.
Mtazamo wangu watu wote wanaopitia magumu ulimwenguni wapewe freepass peponi pale mauti yanapowakuta huko jehanamu tuwaachie wanaofaidi mema ya nchi kama mafisadi.