NtakuwaSikuchukui
Member
- Feb 9, 2012
- 26
- 10
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania
wewe acha uchizi, hatuna rais kwa sasa,huyo jk ni rais kivuli,wapo watu wanamcontrol,watamwambia sasa sema,au sasa kaa kimya.atakaa kimya mahali sipo,wagonjwa wanakufa rais kimya na kuchelewa kutoa maamuzi haraka pamoja na kuwa na madaraka mengi.
Miaka yake iliyobaki ni maumivu kwa taifa lote,hii miwili hadi sasa wananchi tunateseka hakuna mfano.