Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Mbona uanaleta kashfa ndugu....wewe hunijui sasa unawezaje kusema sina akili timamu...nmekuomba utueleze huyu Jenerali ni tapeli kivipi wewe unakuwa mbogo...sikatai yeye ni binadamu na labda alipata kukukosea huko nyuma lakini huwezi ukam-generalized kwa wengine tusiomjua hivyo umjuavyo....kwa busara tu tueleze hafai vipi na tukiridhika basi nasi tutamuita tapeli
Nijuavyo mtu anaeganga njaa ni yule ambae daima kwake ni kukamilisha mlo kwa juhudi za wengine .... nimjuavyo Ulimwengu sidhani kama yuko hivyo...yes Mramba yuko mahakamani...Mkapa ana kinga hawezi kupoelekwa mahakamani....Chenge yuko mahakamani....RA atafika tu usijali....ila nimekwambaia pale awali kama Jenerali ni tapeli kama unavyodai je amewahi kushatakiwa? kama ni hivo tueleze hapa...JF THE HOME OF GREAT THINKERS
Great thinker ehee khe khe khe huo msemo au? Soma uelewe, wapi nimekwambia huna akili timamu? Wacha munkari mkuu huwezi ambiwa maana kwa munkari.