Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Wakuu,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa makala za 'Rai ya Jenerali' toka zilipoanza nadhani 1994(Gazeti la Rai wakati huo)...zinanivutia lakini hizi za toleo lililopita(Na.146 Raia Mwema) na wiki hii (Na.147 Raia Mwema)...zimenigusa sana hasa hii ya leo....huyu bwana alikaa kimya sana kuhusu sakata lake la uraia lililoibuliwa na serekali ya Mkapa....lakini leo kwa upeo wa hali ya juu na kwa utaalamu mkubwa wa kiuandishi amenifanya nimuelewe vizuri sana....nimeshindwa kuiweka makala hii hapa....lakini amemmaliza Chiligati kwa hoja ya kumhusisha yeye Jenerali na suala la Bashe.....laiti waandishi wetu wengine wangeandika kama huyu bwana basi mabanzi ya mbao katika macho yetu,kutu katika bongo zetu na nta katika masikio yetu vingetokomea kabisa.
Thank you Jenerali if you are in the forum!!!
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa makala za 'Rai ya Jenerali' toka zilipoanza nadhani 1994(Gazeti la Rai wakati huo)...zinanivutia lakini hizi za toleo lililopita(Na.146 Raia Mwema) na wiki hii (Na.147 Raia Mwema)...zimenigusa sana hasa hii ya leo....huyu bwana alikaa kimya sana kuhusu sakata lake la uraia lililoibuliwa na serekali ya Mkapa....lakini leo kwa upeo wa hali ya juu na kwa utaalamu mkubwa wa kiuandishi amenifanya nimuelewe vizuri sana....nimeshindwa kuiweka makala hii hapa....lakini amemmaliza Chiligati kwa hoja ya kumhusisha yeye Jenerali na suala la Bashe.....laiti waandishi wetu wengine wangeandika kama huyu bwana basi mabanzi ya mbao katika macho yetu,kutu katika bongo zetu na nta katika masikio yetu vingetokomea kabisa.
Thank you Jenerali if you are in the forum!!!