chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,684
Jenerali Ulimwengu alitoa kauli hiyo wakati akihojiwa na chombo Cha habari kinachofahamika kwa jina "chanzo". Jenerali Ulimwengu aliunga mkono ukandamizaji demokrasia unaofanyika Rwanda kwa kisingizio Cha mauaji ya kimbati, ambayo hata hivyo yametokea miaka karibu thelasini Sasa.
Kagame amejaza maelfu ya wanasiasa na wanaharakati wa haki za binadamu katika magereza ya Rwanda, na mara kadhaa amejiongezea muda wa urais, Jenerali Ulimwengu aliunga mkono Kagame kuongezea mihula ya Urais.
Hapa watanzania tuna mambo ya kujiuliza, si huyu Jenerali juzijuzi tu alimpinga JPM kwa udikteta? Leo upande wa pili anauunga mkono unapofanywa na Kagame!
Ni huyuhuyu Jenerali Ulimwengu alimpinga JPM kuongeza muda wa urais, Leo anaunga mkono Kagame kujiongezea muda wa urais.
Ni huyu Jenerali Ulimwengu aliyepinga JPM kufungia shughuli za kisiasa kwa sababu za maendeleo, Leo anaunga mkono Rwanda kuminya demokrasia kwa sababu PAKA analeta maendeleo.
Ni huyu huyu Jenerali aliyepinga kelele kutwa kucha wakati JPM amepunguza Uhuru wa demokrasia, na kuweka watu magereza. Leo anaunga mkono wanadamu, hata kama ni wanyarwanda, wa asili ya wahutu(sijui kwa nini anaona ni sawa Kagame akawafunga) kuwekwa gerezani.
Ni moja kati ya mahojiano ambayo Jenerali Ulimwengu alikuwa anajibu maswali akionekana anakwepa kamera, hakuwa comfortable, hasa alipokiri kwamba Kagame ni rafiki yake mkubwa sana, na muda wote akimuhitaji anaongea naye. Katika mada zake kuhusu Tanzania, Jenerali Ulimwengu amekuwa akiikashifu Tanzania na kuitusi, na hajafanya hivyo kwa nchi yake ya asili. Katika mahojiano, mara zote aliisifia.
Jenerali Ulimwengu anapokuwa katika vikao vya chama chake Cha Chadema, huwa anawaeleza kwamba anapinga udikteta, na kwamba yeye ni mnazi wa demokrasia.
Wakati wa Mkapa, vyombo vya dola vilifumua taarifa kwamba Jenerali ni mnyarwanda, hivyo si raia, na alipata kashkash nyingi sana.
Ni vyema watanzania tukawa makini, tuilinde sana nchi yetu. Kuna watu Wana pa kwenda. Baadhi watoto wao Wana uraia wa U.S.A, na nchi mbalimbali, na wanalindwa na taasisi za kiinteljensia za nchi hizo. Wengine wanapewa mitaji kufungua magazeti kuyumbisha nchi.
Kagame amejaza maelfu ya wanasiasa na wanaharakati wa haki za binadamu katika magereza ya Rwanda, na mara kadhaa amejiongezea muda wa urais, Jenerali Ulimwengu aliunga mkono Kagame kuongezea mihula ya Urais.
Hapa watanzania tuna mambo ya kujiuliza, si huyu Jenerali juzijuzi tu alimpinga JPM kwa udikteta? Leo upande wa pili anauunga mkono unapofanywa na Kagame!
Ni huyuhuyu Jenerali Ulimwengu alimpinga JPM kuongeza muda wa urais, Leo anaunga mkono Kagame kujiongezea muda wa urais.
Ni huyu Jenerali Ulimwengu aliyepinga JPM kufungia shughuli za kisiasa kwa sababu za maendeleo, Leo anaunga mkono Rwanda kuminya demokrasia kwa sababu PAKA analeta maendeleo.
Ni huyu huyu Jenerali aliyepinga kelele kutwa kucha wakati JPM amepunguza Uhuru wa demokrasia, na kuweka watu magereza. Leo anaunga mkono wanadamu, hata kama ni wanyarwanda, wa asili ya wahutu(sijui kwa nini anaona ni sawa Kagame akawafunga) kuwekwa gerezani.
Ni moja kati ya mahojiano ambayo Jenerali Ulimwengu alikuwa anajibu maswali akionekana anakwepa kamera, hakuwa comfortable, hasa alipokiri kwamba Kagame ni rafiki yake mkubwa sana, na muda wote akimuhitaji anaongea naye. Katika mada zake kuhusu Tanzania, Jenerali Ulimwengu amekuwa akiikashifu Tanzania na kuitusi, na hajafanya hivyo kwa nchi yake ya asili. Katika mahojiano, mara zote aliisifia.
Jenerali Ulimwengu anapokuwa katika vikao vya chama chake Cha Chadema, huwa anawaeleza kwamba anapinga udikteta, na kwamba yeye ni mnazi wa demokrasia.
Wakati wa Mkapa, vyombo vya dola vilifumua taarifa kwamba Jenerali ni mnyarwanda, hivyo si raia, na alipata kashkash nyingi sana.
Ni vyema watanzania tukawa makini, tuilinde sana nchi yetu. Kuna watu Wana pa kwenda. Baadhi watoto wao Wana uraia wa U.S.A, na nchi mbalimbali, na wanalindwa na taasisi za kiinteljensia za nchi hizo. Wengine wanapewa mitaji kufungua magazeti kuyumbisha nchi.