Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
I think hakutegemea haya yote!
kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.
At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!
Mzee mchango wako poa lakini katika kazi hasa ya uhakimu hakuna msimamo mkali hiyo ndiyo inaitwa siasa. Mahakamani kuna sheria na taratibu.