CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Nasikia kasafirishwa kwa MiG-27 usiku wa manane
Utafikiri kaua Rais wa Nchi hiiNasikia kasafirishwa kwa MiG-27 usiku wa manane
Je idadi ya watu ni ya kuridhisha?
Kwani uongo???Tupo hapa mahakamani, tunataka kuihakikishia jeshi la polisi kwamba Chadema siyo chama cha vurugu, bali ccm na serikali yake ndiyo wachokozi. Magesa Mpuuzi tu.
Nasikia kasafirishwa kwa MiG-27 usiku wa manane
kesi naona imeahirishwa na Mbowe yuko nje kwa dhamana..
kesi naona imeahirishwa na Mbowe yuko nje kwa dhamana..
kesi naona imeahirishwa na Mbowe yuko nje kwa dhamana..
kesi naona imeahirishwa na Mbowe yuko nje kwa dhamana..
Kama ni kweli basi hakimu katumia busara kuepusha maafa
bila tatizo mkuu nntawajuza
kesi naona imeahirishwa na Mbowe yuko nje kwa dhamana..
Finaly....dah sirikali hii bana!!inapandisha watu pressure..watu wakija juu wao wanafyata.