Gere mama gere mama wananionea gere, wameusaga mtama wanaubwia wenyewe! Utajijuu babuwee.
Sijua ukoje? Unanikera.
Gere mama gere mama wananionea gere, wameusaga mtama wanaubwia wenyewe! Utajijuu babuwee.
Uwezo wa hawa waheshimiwa wa kufikiri ni finyu saana, kwa nchi masikini yetu kama hii Tanzania utumie gharama zote hizo kubebana na mtu ambaye si jambazi sugu labda anaweza kutoroka. Kweli inaingia hakirini kweli hiyo??????????? Magari kwenda Air Port Ukonga, ndege Dar to KIA or Ars Aport, magari mahakamani yote hiyo ni gharama kwa mwananchi wa Tanzania!!!!!!!!! Hivi Watanzania wamekosa nini kwa Mungu wapewe adhabu za aina hii. Si busara zitumike ingawa kiasi jamani????????
TLS ni NGO moja ya mawakili wanaoshindana kutajirika. Wapo tangu enzi hizo za Tanganyika lakini nchi imeshuhudia sheria za ajabu ikiwemo hii iloomuweka ndani Mh Mbowe, mikataba ya ajabu na mahakama za ajabu zilizooza kwa rushwa na baadhi yao wakiwa mawakala wazuri wa rushwa. Ni wakwepaji wazuri wa kodi za nchi hii. Wakae kimya tu. Hawana jipya.
Chama cha wanasheria Tanzania (Tanganyika Law Socitiety - TLS) kimesema mahakama haikutumia busara kwenye suala la Mh. Freeman Aikael Mbowe. Rais wa Chama hicho Francis Stolla akizungumza na Radio Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle) alisema katika kipindi hiki ambocho bunge la bajeti linakaribia mahakama ingeweza kusubiri mpaka shughuli ya bunge iishe kwani Mbowe ni mtu anayeweza kupatikana.
Aidha amesema hata polisi hawakutumia busara kutomwachia mapema na kumtaka aende mahakamani yeye mwenyewe, kwani ni mtu anayejulikana na si mhalifu sugu.
Kitu kimoja cha ajabu hapa, wanaodai Mbowe alidharau mahakama, watwambie kama ni kweli kwa nini amepelekwa Arusha hajasomewa shitaka lolote wala hajapewa adhabu yoyote! Mbona ccm wanajikanyaga sana?!
Inabidi IGP Mwema atoe statement na hata amwombe radhi Mbowe. Alichokisema hakimu Magessa leo ni kumkataa mdhamini wa awali wa Mbowe ambaye hakufika siku ile aliyotakiwa kufika. Hakimu alikiri kwamba washitakiwa ambao ni Wabunge waliomba udhuru wa kutohudhiria kutokana na vikao vya bajeti. Hakimu Magessa aliwakubalia lakini akasema sharti wadhamini wao wafike.
Leo hii Mbowe kapata mdhamini mwingine na Magessa kawapa washitakiwa ruhusa ya kutohudhuria mahkama siku kesi inatajwa hadi kikao cha bajeti kiishe, ila tu wadhamini ndiyo wafike.
Sijui akina Kova fuss yote hii na kupoteza hela za serikali bure ilikuwa ya nini.
Awe makini sana na aina ya usafiri huu, maana wabaya wake ni rahisi sana kummaliza kwa style yankumtumbukiza kwenye mtaro. Au yaka mtokea yaliyompata mpambanaji wetu Pasco.