Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Hili ni tatizo la CCM.Kwa yeyote anakuwa CCM ama karibu na Chama hicho kama M. Seif basi hufikiri yupo juu ya sheria.Huu mfumo mbovu wa kutoheshimu mamlaka iliyoweka kisheria umeanzishwa na CCM kwa hiyo sioni ajabu M. Seif akitimiza/tekeleza ambayo ndugu zake CCM A wanafanya