kadeti
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,010
- 892
seif sharifu ataki kupunguziwa madaraka uku katibu mkuu uku waziri kiongozi,anatumia muda mwingi serikalini atumikii chama sasa wadau wanaona bora wampe HR ukatibu mkuu afanye kazi za chama, Seif akaona ulaji unaondoka kwaiyo njia saihi ni kumpiga chini HR kusudi aendelee kula neema.