Chama cha Democrasia na Maendeleo kimefanikiwa kutwaa ushindi wa jimbo la Arumeru ambalo
kwa mda mrefu limekuwa ni ngome ya CCM,Kuna tetesi kuwa kumekuwa na wizi wa kura
wa wazi wazi uliokuwa ukifanywa na CCM lakini bado CHADEMA wameshinda kwa kishindo
kikubwa cha zaidi ya kura 6000.Nafikiri huu ni wakati wa waTanzania wote kutafakari kuhusu
hatma ya nchi yao kwani siyo kila kanda wana muamko wa mageuzi ili kuweza kuweka chama
chochote cha upinzani madarakani ni lazima kujiandikisha na kupiga kura na siyo tuu kubaki
kulalamikia serikali iliyopo madarakani wakati hamna nia ya kuweka serikali mnayofikiri mnaitaka.
kwa mda mrefu limekuwa ni ngome ya CCM,Kuna tetesi kuwa kumekuwa na wizi wa kura
wa wazi wazi uliokuwa ukifanywa na CCM lakini bado CHADEMA wameshinda kwa kishindo
kikubwa cha zaidi ya kura 6000.Nafikiri huu ni wakati wa waTanzania wote kutafakari kuhusu
hatma ya nchi yao kwani siyo kila kanda wana muamko wa mageuzi ili kuweza kuweka chama
chochote cha upinzani madarakani ni lazima kujiandikisha na kupiga kura na siyo tuu kubaki
kulalamikia serikali iliyopo madarakani wakati hamna nia ya kuweka serikali mnayofikiri mnaitaka.