Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
wapi imeandikwa a man shall cheat on his wife and get away with it????
Uko nje ya mada!
wapi imeandikwa a man shall cheat on his wife and get away with it????
utaelewa tu mbele ya safari...........Sijakuelewa bado
Uko nje ya mada!
ZIPO sana!...no comments....I dont get it either....
watu wengine kwa uongo!!! mpaka anauamini uongo wake mwenye... hivi kuna hizo huduma hotelini za kupaki nguo?
Huyo baba angebanwa zaidi angezikana na nguo zenyewe kuwa hazijui coz aliyempakia begi ni mhudumu! Men...they never cease to amaze me.
utaelewa tu mbele ya safari...........
back to topic...!HIVI WEWE HUMSHANGAI KWELI???:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
And so were you.....
hapa mie swali langu ni kwamba kwanini akubali kuwa mzembe kiac hicho mpaka ashindwe kupaki nguo zake mwenyewe.?
hawa ndio wale wadogo zetu walijua ndoa ni utamu mwanzo mwisho, sasa vijimambo kama hivi vikitokea wanashindwa kuhimili mtikisiko.....hata hivyo ni mapema sana jamani kwa mrembo kuyakabili haya.
balaa tupu, mautamu very fake.Hahahahahahaaaa.Mautamu ya kichina.. mweeee, wachina wametuweza kwakweli....
huyu mwanaume nae alitakiwa awe na aibu kidogo maana just 4months? anagalau wengine tuliyajua baada ya miaka. Huyu binti arudi tu, sa hizi huyo kimada anashangilia ushindi!
:becky::becky::becky:Sishangai....thou nashangaa kwa kiasi flani!
sishangai kusikia mwanaume anafanya kitendo kama hicho....
sio mara ya kwanza kusikia cases kama hizo,
Lakini kinachonishangaza ni nini kile wanakosa ndani ya nyumba zao hadi wanaenda kutafuta nje....???
Walilazimishwa kuoa? baadae wakagundua interests hazikuwa zile au...???
Tell me.....wewe unaelewa hapo?
Hata mimi namshangaa huyo mwanamke! Namshangaa kwa kweli!
halafu ndoa yenyewe ina miezi kadhaa tu, mie cpendagi kumpa mtu ushauri cjui wa kuita watu wasuluhishe coz hata wasuluhishe kivipi bado nyie wawili ndio wahucka wakuu mngeweza kuyamaliza vizuri japo kutakuwa na tension fulani lakini mnaviziana mmoja wenu kapoa bac mnayaongelea kwa uzuri...wakianza sasa hivi kusulihishwa jamani ni mapema mno.
Ni mdogo wake na friend wangu, tuliyoisheherekea harusi mwezi May, ni jana my frnd ananical ananiambia mdogo wake karudi nyumbani(kwa wazazi).
Mwanaume alisafiri kama 2 weeks kikazi, karudi jmoc ucku, mke kampokea kwa furaha zote kufurahia mume karudi na alim miss pia, mume yupo bathroom mke akawa anafanyia usafi begi na mume alilotoka nalo safari, alikumbana na chupi ya kike(chafu) na vikaratac vya condom kama vi3, mume katoka kuoga mke amumhoji aliyoyaona, mume anaapa miungu yote kwamba hajui kinachoendelea wala hakuwa na mwanamke huko safarini bali mhudumu wa hotel aliyofikia ndio alimpakia nguo kwenye begi "so may be mhudumu ndio kanifanyia haya" kwa makusudi....
My frnd anam-call shemeji yake shemeji anamjibu tena huku akilia machozi kwamba" shemeji hata mie nashangaa kabisa kuona hiki kitendo, nakuapia shemeji cjui kinachoendelea, naomba tu uongee na mke wangu arudi nyumbani...mke anasema harudi kwa mumewe mpaka amwambie ukweli wa aliyayaona.....
Mie kama mie kwa jana nilikosa la kusema....inawezekana hii kitu jamani, kwamba mtu hajui ndio kwanza na yeye "anashangaa".....
Jamani,ingekuwa wanandoa wote wana give up so easily kungekuwa na ndo zenye miaka hamsini????
She has to fight for her marriage and find out what actually happened...she an sort out the problem with the family elders na mwanaume akikosea tena kila mtu abebe cha kwake...!