Hata mimi nashangaa

no comments....I dont get it either....

watu wengine kwa uongo!!! mpaka anauamini uongo wake mwenye... hivi kuna hizo huduma hotelini za kupaki nguo?
 
no comments....I dont get it either....

watu wengine kwa uongo!!! mpaka anauamini uongo wake mwenye... hivi kuna hizo huduma hotelini za kupaki nguo?
ZIPO sana!...
hata huduma za ''kampani'' ya kuangalia tiivii pamoja (chumbani) na mrembo zinapatikana
 
Huyo baba angebanwa zaidi angezikana na nguo zenyewe kuwa hazijui coz aliyempakia begi ni mhudumu! Men...they never cease to amaze me.

hapa mie swali langu ni kwamba kwanini akubali kuwa mzembe kiac hicho mpaka ashindwe kupaki nguo zake mwenyewe.?
 
Tumpe benefit of doubt....

Once a dog always a dog...kama ni muongo atajikwaa tena...sasa sijui mara ya pili atatumia kigezo gani
 
utaelewa tu mbele ya safari...........
back to topic...!HIVI WEWE HUMSHANGAI KWELI???:glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Sishangai....thou nashangaa kwa kiasi flani!
sishangai kusikia mwanaume anafanya kitendo kama hicho....
sio mara ya kwanza kusikia cases kama hizo,

Lakini kinachonishangaza ni nini kile wanakosa ndani ya nyumba zao hadi wanaenda kutafuta nje....???
Walilazimishwa kuoa? baadae wakagundua interests hazikuwa zile au...???
Tell me.....wewe unaelewa hapo?
 
hapa mie swali langu ni kwamba kwanini akubali kuwa mzembe kiac hicho mpaka ashindwe kupaki nguo zake mwenyewe.?

Visingizio tu hivyo, hana lolote...just caught with his pants down..... Nafikiri uzembe wake has gone to another level, kwa sababu hiyo ndio ilikuwa excuse yake aliyoitoa anaendelea kukomaa nayo, kama alivyodai mdau mmoja kuwa aendelee kukomaa tu. Vinginevyo shauri jipya la kusema uongo litafunguliwa..
 
hawa ndio wale wadogo zetu walijua ndoa ni utamu mwanzo mwisho, sasa vijimambo kama hivi vikitokea wanashindwa kuhimili mtikisiko.....hata hivyo ni mapema sana jamani kwa mrembo kuyakabili haya.

huyu mwanaume nae alitakiwa awe na aibu kidogo maana just 4months? anagalau wengine tuliyajua baada ya miaka. Huyu binti arudi tu, sa hizi huyo kimada anashangilia ushindi!
 
huyu mwanaume nae alitakiwa awe na aibu kidogo maana just 4months? anagalau wengine tuliyajua baada ya miaka. Huyu binti arudi tu, sa hizi huyo kimada anashangilia ushindi!


Jamani,ingekuwa wanandoa wote wana give up so easily kungekuwa na ndo zenye miaka hamsini????

She has to fight for her marriage and find out what actually happened...she an sort out the problem with the family elders na mwanaume akikosea tena kila mtu abebe cha kwake...!
 
Sishangai....thou nashangaa kwa kiasi flani!
sishangai kusikia mwanaume anafanya kitendo kama hicho....
sio mara ya kwanza kusikia cases kama hizo,

Lakini kinachonishangaza ni nini kile wanakosa ndani ya nyumba zao hadi wanaenda kutafuta nje....???
Walilazimishwa kuoa? baadae wakagundua interests hazikuwa zile au...???
Tell me.....wewe unaelewa hapo?
:becky::becky::becky:
nimeelewa
 
Hata mimi namshangaa huyo mwanamke! Namshangaa kwa kweli!

Mpwa tuko pamoja kama kawa kama dawa ila situation ilivyokaa iko tricky kweli si mchezo, duh halafu mhudumu anapakia nguo za jamaa kwenye begi lake mhhh wapi na wapi
 
halafu ndoa yenyewe ina miezi kadhaa tu, mie cpendagi kumpa mtu ushauri cjui wa kuita watu wasuluhishe coz hata wasuluhishe kivipi bado nyie wawili ndio wahucka wakuu mngeweza kuyamaliza vizuri japo kutakuwa na tension fulani lakini mnaviziana mmoja wenu kapoa bac mnayaongelea kwa uzuri...wakianza sasa hivi kusulihishwa jamani ni mapema mno.

Yaani hata mimi haya mambo ya kuita watu hayapo siku hizi. mnajimalizia wenyewe chumbani hata kwa Matron sijui bestman hayaendi.
Huyo dogo mwambie arudi nyumbani, au naye alishaichoka hiyo ndoa so alikuwa anatafuta sababu ya kuondoka? amsamehe tu yaishe.
 
Ni mdogo wake na friend wangu, tuliyoisheherekea harusi mwezi May, ni jana my frnd ananical ananiambia mdogo wake karudi nyumbani(kwa wazazi).

Mwanaume alisafiri kama 2 weeks kikazi, karudi jmoc ucku, mke kampokea kwa furaha zote kufurahia mume karudi na alim miss pia, mume yupo bathroom mke akawa anafanyia usafi begi na mume alilotoka nalo safari, alikumbana na chupi ya kike(chafu) na vikaratac vya condom kama vi3, mume katoka kuoga mke amumhoji aliyoyaona, mume anaapa miungu yote kwamba hajui kinachoendelea wala hakuwa na mwanamke huko safarini bali mhudumu wa hotel aliyofikia ndio alimpakia nguo kwenye begi "so may be mhudumu ndio kanifanyia haya" kwa makusudi....

My frnd anam-call shemeji yake shemeji anamjibu tena huku akilia machozi kwamba" shemeji hata mie nashangaa kabisa kuona hiki kitendo, nakuapia shemeji cjui kinachoendelea, naomba tu uongee na mke wangu arudi nyumbani...mke anasema harudi kwa mumewe mpaka amwambie ukweli wa aliyayaona.....

Mie kama mie kwa jana nilikosa la kusema....inawezekana hii kitu jamani, kwamba mtu hajui ndio kwanza na yeye "anashangaa".....

Asprin, Msanii, Teamo hebu nisaidieni hapo penye maneno mekundu :confused2:
 
Mwanaume hawezi kukubali kama amefanya hilo kosa. huyo dada arudi tu kwa mumewe kwani hiyo ndio ndoa alifikiri ndoa ni raha tu mwanzo mwisho kuna vijimambo kama hivyo na hata hivyo mbona vidogo? ina maana kila siku atakuwa anakimbia basi itakuwa kazi. Na wewe nyamayao c uko kwenye ndoa na unajua vurugu zote za kwenye ndo si umshauri mwenzio arudi tu kwa mumewe akifanya mchezo atakuta kina da sophy washafanya mambo shauri yake mshauri huyo
 
Jamani,ingekuwa wanandoa wote wana give up so easily kungekuwa na ndo zenye miaka hamsini????

She has to fight for her marriage and find out what actually happened...she an sort out the problem with the family elders na mwanaume akikosea tena kila mtu abebe cha kwake...!

Alipoingia kwenye ndoa ilibidi ajue hayo yooooooooooooote na kuamua kuwa atasamehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom