Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
- Thread starter
- #21
BACK to the basics, huyo dada ashukuru hata mumewe anatumia kinga kama alivyosema jamaa hapo juu! Je angekuja nyumbani hana kitu chochote lakini jamaa alikuwa anajirusha kila siku huko?
Hebu fikiria jamaa amue kuuwa na kumwambia my wifey unajua hiyo chupi ni ya mdogo wako alisisahau kuitoa tu! Alikuja nisalimu hotelini!
mie jamani cjui kabisa, jana nilikosa cha kushauri kabisa, na ucku nilimcal huyo mdogo wetu nilimuuliza tu kwanini umechukua uamuzi kwa kwenda home haraka hivyo badala ya kumckiliza mwenzio kwanza...alinijibu "acnifanyie hayo akidhani alinitoa rodini, alinitoa kwetu atakuja kunichukua kwetu kama bado ananihitaji"....