The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
mambo yanaenda kama filamu ya kihindi vile, jana mdada karud ikwa mume lakini kacctiza kwamba akili yake bado ipo pale pale, na hajui kama atampa unyumba mpaka cku atakapofanikiwa kuilengesha kwa mwingine yeye ndio aje aendelee, wanaume wakati mwingine bwana mnakitakiaga matatizo, sasa huyu akili yake imemuhama kabisa, haambiwi wala ashauriki.
Nyamayao kama nilivyokwambia huyo ndugu yako inabidi umpeleke akafanyiwe counseling vinginevyo atafanya mambo hadi nyie wengine mtashangaa na kubaki midomo wazi sasa hiyo nyumba sijui kama kuna binadamu wanaishi maana naona ni mwendo wa MWAGA MBOGA mimi NAMWAGA UGALI